JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Sheria ya Makosa ya Mtandao ina hitilafu kubwa

Nilipata fursa ya kushuhudia kwenye runinga majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015. Kwa mtazamo wangu, sheria ikianza kutumika kutakuwa na ongezeko kubwa la watumiaji wa mawasiliano; hasa ya simu, kubebeshwa makosa, kulipa faini, na…

Ni vigumu kutokomeza ukeketaji

Vita dhidi ya ukeketaji kwa wasichana na kinamama Wilaya ya Tarime mkoani Mara, inaweza kuwa ngumu kwa sababu mangariba huchukulia jambo hilo kama ajira licha ya kuwa ni ya msimu tu, likifanyika kila Desemba. Taarifa kwamba wanafaidika kiuchumi imetolewa na…

Siri ya Ugaidi

Kitendo cha nchi za Afrika Mashariki na Kati kuandaa mafunzo ya kudhibiti ugaidi, kinaelezwa kuwatia hasira kundi la al-Shaabab hadi kuvamia na kuua watu zaidi ya 150 nchini Kenya.   Jumla ya askari 300 kutoka nchi za Burundi, Rwanda, Tanzania,…

Rais Buhari kuinusuru Nigeria

Hakuna ubishi kwamba Marekani ni taifa kubwa kwa kujiimarisha kiuchumi na kiusalama. Kadhalika, hakuna ubishi kwamba rais wa Marekani ndiye anayetafsiriwa kuwa ni kiongozi wa dunia. Hii inatokana na vyombo vikubwa vya uamuzi kama vile Umoja wa Mataifa (UN) vinaisikiliza…

Inakumbukwa Richmond inasahaulika Escrow!

Baadhi ya Watanzania ni watu wa ajabu sana, maajabu waliyo nayo mengi yamejifunga kwenye kitu kinachoitwa “mizengwe”, tabia ya kufanyiana roho mbaya hata kama kufanya hivyo hakumnufaishi yeyote, huku wakikiacha chenye manufaa kwao au kukosa kulishughulikia tatizo lililo na madhara…

‘Drones’ zitaua uhuru wa Afrika

Waafrika tulipokuwa tunaimba na kucheza ngoma, kusherehekea uhuru na matunda yake, vizazi vya waliokuwa wakoloni vilikuwa vinakuna vichwa kutafuta jinsi na namna ya kufuta hiyo furaha kutoka kwenye nyuso zetu milele.   Uchambuzi wa kina waliufanya kujua kilichosabisha wakoloni washindwe…