Category: Makala
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
- Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia
- Rais Alhaj Dk Mwinyi ahimiza huruma na mshikamano
- Serikaki yadhamiria kumaliza changamoto ya usafiri Dar es Salaam
- HESLB inavyoshirikiana na wadau kuwawezesha wanafunzi kujitegemea kiuchumi
- Serikali yawashauri wananchi kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali
Habari mpya
- Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia
- Rais Alhaj Dk Mwinyi ahimiza huruma na mshikamano
- Serikaki yadhamiria kumaliza changamoto ya usafiri Dar es Salaam
- HESLB inavyoshirikiana na wadau kuwawezesha wanafunzi kujitegemea kiuchumi
- Serikali yawashauri wananchi kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali
- Fedha za miradi kimkakati ni kichocheo cha ajira na uchumi jumuishi
- Rais Samia aungana na waumini kumuaga Kardinali Pengo
- NMB yatoa bilioi 12.4 kwa wafanyabiashara 6,011
- Mfumo wa kidijitali wa elimu waamsha matumaini kufikia Dira ya Maendeleo 2050
- Rais Samia azungumza na mkuu wa WHO Kanda ya Afrika Prof. Janabi
- Jafo aendeleza Kampeni ya ‘Kila Mtu Atibiwe Kwao’ Kisarawe
- TRA yaja na utaratihu mpya wa ukusanyaji kodi bandari ya Bagamoyo
- Prof. Shemdoe ataka mageuzi ya uchumi wa vijijini kuhusisha uchumi wa buluu, ufugaji na mazao yake
- Makamu wa Rais aongoza kumbukizi ya miaka 120 ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Rais Samia ateta na Balozi wa Singapore nchini Tanzania
Copyright 2025