Category: Makala
Eneo la Shule ya Mwongozo Kinondoni kumegwa
Katika mambo mengi mazuri ambayo Serikali imeyafanya, hapana shaka ni kujenga uzio au kuta kuzunguka maeneo ya shule.
Kikwete: Kagame, Museveni, Kenyatta wamenishangaza
Asema wamevuja Mkataba, Itifaki ya Afrika Mashariki
Asisitiza Tanzania inaipenda Jumuiya, haitatoka kamwe
Aonya wasahau ardhi, ajira, kuharakisha shirikisho
Alhamishi wiki iliyopita, Rais Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kueleza mambo manne ya msingi. Amezungumzia mchakato wa Katiba mpya, Operesheni Tokomeza, ushiriki wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na hatima ya Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kutokana na umuhimu wa hotuba hii, na historia inayoweza kuwa imewekwa na hotuba hii katika siku za usoni, Gazeti JAMHURI limeamua kuchapisha hotuba hii neno kwa neno kama sehemu ya kuweka kumbukumbu na kuwapa fursa Watanzania, ambao hawakupata nafasi ya kuisikiliza hotuba hii, kuisoma na wao pia kuhifadhi kumbukumbu. Endelea…
Tusisukumwe na hoja za kisiasa kujitoa EAC
Katika dunia yetu ya leo ya utandawazi, suala la nchi yoyote duniani kubaki kama kisiwa halipo kabisa. Maendeleo katika teknologia ya mawasiliano yameifanya dunia yetu igeuke kuwa kijiji kimoja.
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -3
FIKRA YA HEKIMA
Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu
Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
- Fomu ya ubunge ya Ulega na mkewe yazua jambo Pwani
- Dk Biteko: Nishati itakayozalishwa na nyuklia kujumuishwa kwenye gridi ya Taifa
- Pamoja tutashinda Tanzania yashiriki tukio la kusimikwa mtemi ea 24 wa Busiya chifu Majwaia wa III
- TRA yawaalika wananchi Sabasaba kupata elimu ya Kodi na huduma za TIN
- Waziri wa Maliasili na Utalii awataka maafisa kufanyakazi kwa bidii kwa bidii na weledi mkubwa
Habari mpya
- Fomu ya ubunge ya Ulega na mkewe yazua jambo Pwani
- Dk Biteko: Nishati itakayozalishwa na nyuklia kujumuishwa kwenye gridi ya Taifa
- Pamoja tutashinda Tanzania yashiriki tukio la kusimikwa mtemi ea 24 wa Busiya chifu Majwaia wa III
- TRA yawaalika wananchi Sabasaba kupata elimu ya Kodi na huduma za TIN
- Waziri wa Maliasili na Utalii awataka maafisa kufanyakazi kwa bidii kwa bidii na weledi mkubwa
- Muhimbili yasogea karibu na wananchi kupitia Sabasaba
- Wataalam SADC wakutana Zimbabwe kujadili sekta ya nishati na maji
- Iran yamesema haina imani na usitishwaji vita wa Israel
- Mtetezi wa Haki za wenye ulemavu ajitosa kuwania Ubunge Mpwapwa
- Mwalimu Abubakar Alawi achukua fomi kugombea ubunge Jimbo la Kibaha Mjini
- Peter Mashili kuvaana na Bashe Jimbo la Nzega Mjini
- Koka achukua fomu kutetea Jimbo la Kibaha Mjini
- Rais Samia, Ndayishimiye wazindua Kiwanda cha Kisasa cha Mbolea
- Godwin Ndossi achukua fomu kugombea ubunge Jimbo la Kibaha Mjini
- Norland kutengeza ajira kwa vijana nchini