Category: Makala
Katiba Mpya iakisi uzalendo (Hitimisho)
Sehemu iliyopita, mwandishi alinukuu ibara ile ya kwanza ya
Mkataba wa Muungano na kusema mtu akiisoma atajua ilikuwa na viashiria vya undugu na umoja wetu wa asili kati ya watu wa nchi hizi mbili – Tanganyika na Zanzibar. Hii ni sehemu ya mwisho ya mfululizo wa makala ya Katiba Mpya iakisi uzalendo. Endelea
Maneno mazito namna hii na ya kizalendo kutoka kwa watu wa Zanzibar, leo mtu aje aseme mbona hatukushauriwa: Oh! mbona hatukuulizwa hivi. Wanaofyatuka kusema hivi walikuwa na umri gani Aprili 24, 1964? Pengine wala hawakuwa wameingia ulimwenguni. Leo waje na stori za watu wa Zanzibar eti waulizwe wanautaka Muungano au hawautaki ndipo Katiba yetu iandikwe ni sahihi kweli wazee wenzangu?
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
Mpunga, mahindi, miwa kuikomboa Tanzania
Leo nataka kujikita katika suala la Majadiliano ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote Smart Partnership Dialogue, ambayo ni dhana ya kiubunifu na msingi wake ni kanuni ya ‘Stawi Jirani Yangu kwa Manufaa Yetu Sote’.
Maghoba: Tanzania isipuuze vitisho vya Kagame – Hitimisho
Wiki iliyopita, sehemu ya kwanza ya makala haya pamoja na mambo mengine, mwanajeshi na mbunge mstaafu, Frank Maghoba, alieleza mtazamo wake kutokana na kauli ya vitisho inayodaiwa kutolewa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame dhidi ya Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Sasa endelea na sehemu hii ya mwisho…
Chanzo cha msuguano
Inaelezwa kuwa msuguano huo baina ya Rwanda na Tanzania ulianza kujitokeza siku chache baada ya kumalizika kwa kikao cha viongozi wa Nchi za Maziwa Makuu, kilichohudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, chini ya uenyekiti wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.
Sitta aache kumchafua Edward Lowassa
Siku zote napenda kufuatilia siasa za Tanzania. Ni siasa hizi za kuchafuana. Siasa za kuchafuana si ngeni katika jamii yetu. Mtu akimwona mwenzake kazidi kwa jambo jema katika jambo fulani, basi atamchafua ili jina lake lionekane kuwa si kitu.
FASIHI FASAHA
Miaka 50 hakuna maendeleo! – 2
Wiki iliyopita katika makala haya nilikumbusha vitu vinne: Ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora jinsi vilivyoweza kuleta maendeleo ya nchi na watu katika elimu, afya, siasa na uchumi, pamoja na kujenga umoja na mshikamano wa Watanzania.
- Wazazi waonywa; vituo vya kulea watoto siyo shule, wazingatie kanuni za 2012
- Siku 100 za Rais Samia,Waziri wa Vijana ataja mafanikio yaliyofanywa na Rais Samia
- Dkt. Homera azitaka bodi za udhamini kujiepusha na ubadhirifu wa mali za umma
- RAS Arusha asisitiza utendajikazi unaozingatia maadili ya utumisi wa umma
- Dk Gwajima asisitiza ushirikiano wa jamii kutokemeza ukeketaji na kuimarisha malezi ya mtoto
Habari mpya
- Wazazi waonywa; vituo vya kulea watoto siyo shule, wazingatie kanuni za 2012
- Siku 100 za Rais Samia,Waziri wa Vijana ataja mafanikio yaliyofanywa na Rais Samia
- Dkt. Homera azitaka bodi za udhamini kujiepusha na ubadhirifu wa mali za umma
- RAS Arusha asisitiza utendajikazi unaozingatia maadili ya utumisi wa umma
- Dk Gwajima asisitiza ushirikiano wa jamii kutokemeza ukeketaji na kuimarisha malezi ya mtoto
- Dk Mwigulu azindua uwanja wa ndege Mtemere
- Afariki akiwakimbia maafisa wa kupambana na dawa za kulevya Tanga
- Kwagilwa akagua ICU ya kisasa Handeni Mji, kuimarisha huduma za afya
- Naibu Waziri Londo atembelea Tume ya Ushindani, asisitiza uzalendo
- ‘Vijana wanaongoza kwenye changamoto ya kisaikolojia na akili’
- Mtoto mchanga wa siku moja aibiwa Mwanza
- Dk Mwigulu amwakilisha Rais Dk Samia mkutano wa 43 wa AUDA – NEPAD
- MSD yabadilishana uzoefu na wataalamu kutoka Madagascar
- Serikali yawekeza bilioni 59/- Ruaha
- Ulega: Lipeni watu wanachostahili