Category: Makala
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
Mpunga, mahindi, miwa kuikomboa Tanzania
Leo nataka kujikita katika suala la Majadiliano ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote Smart Partnership Dialogue, ambayo ni dhana ya kiubunifu na msingi wake ni kanuni ya ‘Stawi Jirani Yangu kwa Manufaa Yetu Sote’.
Maghoba: Tanzania isipuuze vitisho vya Kagame – Hitimisho
Wiki iliyopita, sehemu ya kwanza ya makala haya pamoja na mambo mengine, mwanajeshi na mbunge mstaafu, Frank Maghoba, alieleza mtazamo wake kutokana na kauli ya vitisho inayodaiwa kutolewa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame dhidi ya Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Sasa endelea na sehemu hii ya mwisho…
Chanzo cha msuguano
Inaelezwa kuwa msuguano huo baina ya Rwanda na Tanzania ulianza kujitokeza siku chache baada ya kumalizika kwa kikao cha viongozi wa Nchi za Maziwa Makuu, kilichohudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, chini ya uenyekiti wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.
Sitta aache kumchafua Edward Lowassa
Siku zote napenda kufuatilia siasa za Tanzania. Ni siasa hizi za kuchafuana. Siasa za kuchafuana si ngeni katika jamii yetu. Mtu akimwona mwenzake kazidi kwa jambo jema katika jambo fulani, basi atamchafua ili jina lake lionekane kuwa si kitu.
FASIHI FASAHA
Miaka 50 hakuna maendeleo! – 2
Wiki iliyopita katika makala haya nilikumbusha vitu vinne: Ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora jinsi vilivyoweza kuleta maendeleo ya nchi na watu katika elimu, afya, siasa na uchumi, pamoja na kujenga umoja na mshikamano wa Watanzania.
Tunahitaji ujasiriamali wa mnyororo
Wiki iliyopita wajasiriamali wawili marafiki zangu wa muda mrefu walinitembelea ofisini, mtaa wa Uhuru, mjini Iringa na tukapata wasaa wa kuzungumza kwa kirefu kuhusu mienendo ya biashara katika mazingira ya sasa.
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
- Waziri Simbachawane ateta na askofu Dk Bagonza
- Dk Mwingulu aweka jiwe la msinhgi ujenzi wa Kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mkoa Lindi
- Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi
- Makamu wa Rais awasili Uganda – kushiriki mkutano wa Jumuiya ya Maziwa Makuu
Habari mpya
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
- Waziri Simbachawane ateta na askofu Dk Bagonza
- Dk Mwingulu aweka jiwe la msinhgi ujenzi wa Kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mkoa Lindi
- Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi
- Makamu wa Rais awasili Uganda – kushiriki mkutano wa Jumuiya ya Maziwa Makuu
- Waziri Mkuu akagua ujenzi wa shule mpya ya msingi Likong’o
- Dk Akwilapo : Ingieni katika dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu
- DC Mpogolo amewataka madiwani Ilala kushirikiana na wenyeviti wa mitaa
- Kwa heri John Sabi Nzuryo, tutaonana baadae
- Livembe: Mchakato wa uchaguzi ulikuwa wa haki na halali
- Simbachawane- Vitambulisho vya NIDA kuunganishwa na huduma nyingine
- Pwani yaweka mkakati kuacha tabasamu kwa wananchi ndani ya siku 100 za rais
- Tanzania na Uturuki kuimarisha uwezeshaji wa vijana na wanawake
- Mabalozi wa Utalii waahidi kuulinda Ushoroba wa Kwakuchinja
- Wizara ya Viwanda na biashara yapania kuanzisha kongani