Category: Makala
Maisha ya mjasiriamali baada ya kustaafu
Wiki iliyopita nilifika katika mmoja ya mifuko ya pesheni kujiandikisha kwa ajili ya utaratibu wa kujiwekea akiba kwa mpango wa kuchangia kwa hiari. Baada ya kutoka katika ofisi za mfuko huo wa pesheni nikiwa na fomu na makabrasha mengi, nikakutana na mtu mmoja ambaye maongezi kati yangu na yeye ndiyo yaliyonisukuma kuandika makala haya.
Wanasiasa mmewasaidiaje wakulima wa pamba?
Msimu wa zao la pamba unakaribia kuanza, huku hali ya ubora na uzalishaji wake hapa Tanzania ukiwa hauridhishi. Kilimo cha Mkataba bado hakijafanya kazi.
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria
“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
- Mgombea ubunge ACT Kawe awafariji waathirika wa moto soko la Kawe
- Jamii haina budi kuachana na mila na desturi zenye madhara
- Kongomano la uchumi Jumuishi kuelekea Dira 2050 kufanyika Septemba 18 Mbeya
- Uyovu wamkubali Dk Samia, kumpigia kura nyingi Oktoba 29
- Ilani ya Uchaguzi CCM inagusa maisha ya watu, wataichagua
Habari mpya
- Mgombea ubunge ACT Kawe awafariji waathirika wa moto soko la Kawe
- Jamii haina budi kuachana na mila na desturi zenye madhara
- Kongomano la uchumi Jumuishi kuelekea Dira 2050 kufanyika Septemba 18 Mbeya
- Uyovu wamkubali Dk Samia, kumpigia kura nyingi Oktoba 29
- Ilani ya Uchaguzi CCM inagusa maisha ya watu, wataichagua
- THBUB yawanoa waandishi wa habari Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu
- Kawaida asema Samia, Mwinyi walitumia vizuri fedha za Covid
- Wanu: Samia, Mwinyi wameleta umoja, amani
- Mgombea Haroun : Rais Samia, Mwinyi wamefanya kazi kubwa ya maendeleo
- Auawa kwa kisu baada ya mabishano ya Simba na Yanga Songwe
- Mfanyabiashara arejesha mil 6.2/- ambazo hakuwasilisha TRA
- Mamia wafurika Makunduchi Zanzibar kusikiliza sera za Dk Samia
- Makusanyo ya kodi Dodoma yafikia bilioni 204, wafanyabiashara wapongeza uongozi wa Rais Samia
- Israel yaanza operesheni ya kudhibiti Gaza City
- Trump aidhinisha msaada wa silaha wa Ukraine