JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

ARV bandia: Serikali itoe taarifa sahihi

Taarifa za karibuni zinaonesha kwamba watu 5,358 wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) waliokuwa kwenye matibabu, wameacha kutumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo (ARVs), mkoani Dodoma.

Mulugo na matatizo ya elimu

Aprili 8 mwaka huu, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo (pichani kulia), amezungumzia matatizo ya elimu yaliyoikumba Tanzania.

Sisi Waafrika weusi tukoje? (1)

Siku moja nilipokuwa nikisherehekea siku yangu ya kuzaliwa, mjukuu wangu mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alinizawadia kitabu kiitwacho ‘Waafrika Ndivyo Tulivyo?’

Uchinjaji wawanyima viongozi usingizi

Mgogoro wa kugombea uchinjaji wanyama baina ya Waislamu na Wakristo unaendelea kuwanyima usingizi viongozi wa dini na serikali.

Nderakindo: Tubadilishe mfumo wa elimu tuinue uchumi

 

Tanzania haiwezi kuendelea kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni, kama haitabadili mfumo wa elimu na kuwekeza zaidi katika sekta hizo.

NuKUU ZA WIKI

Nyerere: Miiko ya uongozi

“Siku hizi fedha ndio sifa kubwa ya mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi. Miiko ya uongozi ambayo ni jambo la lazima katika kila nchi duniani, haipo tena hapa nchini.”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.