JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Njia bora ya kulinda biashara yako

Wiki iliyopita niliandika makala yaliyokuwa na kichwa “Unahitaji gia ya uvumilivu kumudu biashara”. Nilieleza visa kadhaa vilivyonitokea katika harakati za kibiashara. Mamia ya wasomaji kutoka pande mbalimbali za nchi wameonesha kuguswa na yaliyowahi kunitokea.

Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango – (3)

Fikiria maisha ya mijini, vyumba vya kupanga utaishia kulaza watoto wanne katika chumba kimoja, katika kitanda kimoja na ndani ya chandarua kimoja. Lakini pia katika maisha ya vijijini gharama zimepanda hata kama unaishi kwenye nyumba yako.

Umoja wa Tanzania ni propaganda

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,  alituasa kwamba tufanye juhudi kuziba ufa mkubwa uliojitokeza katika Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar, na kuendelea kuainisha nyufa nyingine. Lakini ni kama hatukumsikiliza na kumjali.

Utawala Bora hutokana na maadili mema (3)

Hata hivyo, siku hizi umeletwa utaratibu wa kuwa na “semina elekezi” kwa viongozi wote wakuu wa Serikali. Utaratibu huu unatokea mara kwa mara (periodically) pale hitaji la kuwaelekeza wanaohusika na utawala dhima na wajibu wao kitaifa.

NUKUU ZA WIKI

 

Nyerere na matumaini ya wanyonge

“Bila Azimio la Arusha, wananchi wanyonge wa Tanzania watakuwa hawana matumaini ya kupata haki na heshima katika nchi yao.”

Haya ni maneno ya Baba wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

CCM wachimba umaarufu wa CHADEMA Moshi

MADIWANI wa Manspaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamemwandikia barua Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakimuomba akubali kusaini makubaliano ya mkopo wa Sh bilioni 19 za ujenzi wa kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi kilichopo eneo la Ngangamfumuni mjini Moshi.