Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 18, 2023
Habari Mpya
Dodoma kunufaika na ujenzi wa kiwanda cha dola milioni 200
Jamhuri
Comments Off
on Dodoma kunufaika na ujenzi wa kiwanda cha dola milioni 200
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akishuhudia utiaji saini wa makubalino ya awali ya ujenzi wa kiwanda cha saruji kitakachokuwa na uwezo wa kuzalisha zaidi ya tani milioni moja kwa mwaka katika Wilaya ya Kongwa. Makubaliano hayo yamefanyika mwishoni mwa wiki kati ya kampuni ya
Alotab & Block BB na Libyan Petrolium ya Libya. Hafla hiyo imefanyika mbele ya wajumbe wa Baraza la Ushauri Mkoa wa Dodoma jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Alotab & Block BB, Abdul Hillary Ally (kushoto) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Libyan Petrolium ya Libya, Dmjed Rajab (kulia) wakibadilishana hati za makubaliano ya ujenzi wa kiwanda cha saruji wilayani Kongwa
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini wa makubalino ya awali ya ujenzi wa kiwanda cha saruji kitakachokuwa na uwezo wa kuzalisha zaidi ya tani milioni moja kwa mwaka katika Wilaya ya Kongwa. Uwekezaji wa Kiwanda hicho utagharimu dola za kimarekani milioni mia mbili. Kiwanda hicho kitasaidia kuleta ajira na kuinua pato la mkoa na Taifa kwa ujumla
ambapo makubaliano ya walimu ujenzi wa kiwanda cha saruji uiwekezaji wake ni wa thamani ya dola milioni 200.
Post Views:
135
Previous Post
Bashe awaita wawekezaji kuja Tanzania
Next Post
Mabula awataka Ma-DC kuanzisha rejista ya migogoro ya ardhi
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Habari mpya
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi
CCM Njombe, RC Mtaka waridhishwa na ujenzi barabara ya kiwango cha zege Itoli – Ludewa – Manda
Bashungwa: Tumejipanga kuifungua Dar es Salaam
Shahidi aeleza mume wake alivyopigwa na Nathwani mpaka kuzimia
Tanzania yahimiza nchi zipate mikopo nafuu
Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho Arusha
Utasa unavyogeuka laana kwa wanawake
Samia kusafiri kwa SGR Dar-Dodoma
Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kimataifa wa barabara
Msafara wa wachezaji wawasili Paris kushiriki Olympic