Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 15, 2023
Habari Mpya
Kamati ya Bunge ya Utawala yaridhishwa na jitihada za mlengwa TASAF
Jamhuri
Comments Off
on Kamati ya Bunge ya Utawala yaridhishwa na jitihada za mlengwa TASAF
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Florent Kyombo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama na Naibu Waziri wake Mhe. Ridhiwani Kikwete wakimkabidhi fedha mlengwa wa TASAF Wilayani Uyui Amina Abdallah zilizochangwa na Wajumbe wa Kamati hiyo kumuwezesha mlengwa huyo kukamilisha ujenzi wa nyumba aliyoanza kuijenga kutokana na ruzuku ya TASAF anayoipata.
Mlengwa wa TASAF, wa Kata ya Magiri wilayani Uyui, mkoani Tabora, Amina Abdallah akipokea michango ya fedha kutoka kwa Jenista Mhagama na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Utawala, Katiba na Sheria, vingozi na watendaji wa Serikali waliyomchangia kumuwezesha kukamilisha ujenzi wa nyumba aliyoianza kuijenga kutokana na ruzuku ya TASAF anayoipata.
Mlengwa wa TASAF wa Kata ya Magiri wilayani Uyui, mkoani Tabora Amina Abdallah akitoa neno la shukurani kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Utawala, Katiba na Sheria, vingozi na watendaji wa Serikali baada ya kumpatia fedha kiasi cha shilingi 530,000 kumuwezesha kukamilisha ujenzi wa nyumba aliyoianza kuijenga kutokana na ruzuku ya TASAF anayoipata.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akiwashukuru wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Utawala, Katiba na Sheria kwa upendo waliouonyesha kwa mlengwa wa TASAF, katika Kata ya Migiri Wilayani Uyui Bi. Amina Abdallah kwa mchango wa kumuwezesha mlengwa huyo kukamilisha ujenzi wa nyumba aliyoanza kuijenga kutokana na ruzuku ya TASAF anayoipata.
Post Views:
167
Previous Post
Rais Samia awasili Jijini Pretoria kwa ziara ya Kiserikali nchini Afrika Kusini
Next Post
DC Moyo kufanya msako shuleni kuwabaini wanafunzi waliowekewa vijiti
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi wa vivutio vipya vya kujazia gesi kwenye magari CNG
Rais wa Benki ya AfDB awasili nchini
Ujio wa marais 25, barabara hizi kufungwa kwa muda, bodaboda marufuku mjini
Rais wa Sierra Leone atua Dar
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Habari mpya
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi wa vivutio vipya vya kujazia gesi kwenye magari CNG
Rais wa Benki ya AfDB awasili nchini
Ujio wa marais 25, barabara hizi kufungwa kwa muda, bodaboda marufuku mjini
Rais wa Sierra Leone atua Dar
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika