Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 5, 2023
Biashara
Majaliwa afungua maonesho ya 47 ya kimataifa Sabasaba Dar
Jamhuri
Comments Off
on Majaliwa afungua maonesho ya 47 ya kimataifa Sabasaba Dar
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea mabanda katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Manonesho vya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023 kabla ya kuyazindua rasmi maonesho hayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia kahawa, wakati alipo tembelea banda la Tanganyika Instant Coffee katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023. Kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Rewina Peter. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia moja ya jiwe la madini, wakati alipo tembelea banda la Pring Mineral Limited katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023. Kushoto ni Erasto Kafyulilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akioneshwa ramani ya Mkongo wa Taifa na Mkurugenzi Mkuu TTCL katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023. Kushoto ni Mwana Jiolojia, Erasto Kafyulilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuni ya Imalilo Nutrition Educators katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023. Kulia ni Mke wa aliyekua Rais wa awamu ya tatu, Mama Anna Mkapa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia asali inayozalishwa na Kampuni ya Pinda Honey, katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba, Kurasini jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023. Kushoto ni Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza, katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post Views:
474
Previous Post
Kunenge: Rais Samia anafanyakazi kubwa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini
Next Post
Mpango ashiriki hafla ya makabidhiano ya madarasa Buhigwe
Lori laua 11 waliokwenda kutoa msaada kwenye ajali Segera mkoani Tanga
Rasimu ya mwisho ya kusitisha vita vya Gaza yatolewa
DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana uboreshaji huduma maji
Waandishi na wachapishaji vitabu kukutana kesho Dar
Megawati 30 za jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/ 2027 – Dk Kazungu
Habari mpya
Lori laua 11 waliokwenda kutoa msaada kwenye ajali Segera mkoani Tanga
Rasimu ya mwisho ya kusitisha vita vya Gaza yatolewa
DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana uboreshaji huduma maji
Waandishi na wachapishaji vitabu kukutana kesho Dar
Megawati 30 za jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/ 2027 – Dk Kazungu
Maria Sarungi ahusisha utekaji wake na ukosoaji wa Serikali ya Tanzania
Idadi ya waliofariki kwa moto wa nyika Marekani yafikia 24
Soma Gazeti la Jamhuri Januari 14, 2025
Rais Samia azungumza na Balozi wa Japan hapa nchini
Rais Samia akutana na Afisa Mtendaji Mkuu NMB
Rais Samia aipongeza Zanzibar Heroes
Mwanamuziki wa injili Rehema Simfukwe atoboa siri sababu kutunga wimbo wa Chanzo
Watoto mapacha wamuua mama yao mzazi
Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa Arusha
Bilioni 5 kujenga soko la kimataifa Missenyi