SiasaMwenyekiti CCM Rais Samia akagua maandalizi ya mkutano mkuu wa 10 Jamhuri1 year ago1 year ago01 mins Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa Rais Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Daniel Chongolo pamoja na Viongozi wengine wa Chama mara baada ya kuwasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma kwa ajili ya kuangalia na kukagua maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 10 wa CCM unaotarajiwa kufanyika tarehe 07-08 Desemba, 2022 Post Views: 20 Post navigation Previous: VETA Karagwe inavyowakomboa vijana kupitia elimu ya ufundiNext: Nafasi za ajira kwa vijana waliohitimu mafunzo ya JKT na JKU
Ole Leikata: Mil 700 za Rais Samia zamaliza ujenzi wa daraja korofi la Kiseru wilayani Kiteto Jamhuri6 months ago6 months ago 0
Jenista awataka wananchi Kata ya Mtyangimbole Songea kumchagua mgombea udiwani CCM Jamhuri6 months ago 0