Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 8, 2022
Kitaifa
Mwinyi aelekea Uganda kuhudhuria sherehe za miaka 60 ya Uhuru
Jamhuri
Comments Off
on Mwinyi aelekea Uganda kuhudhuria sherehe za miaka 60 ya Uhuru
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla na Viongozi mbalimbali wa Serikali  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akielekea Nchi Uganda leo 8-10-2022, kuhudhuria Sherehe za Miaka 60 ya Uhuru wa Uganda, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimia na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla,Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Uganda kuhudhuria Sherehe za Miaka 60 ya Uhuru wa Uganda, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.(Picha na Ikulu)
Post Views:
170
Previous Post
Yanga yalazimishwa sare na Al Hilal 1-1
Next Post
Kagera Sugar yazinduka, yaichapa Polisi 2-0
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Habari mpya
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Kagame ailaani Jumuiya ya Kimataifa kutilia shaka Rwanda
Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu kuelekea mkutano mkuu maalumu wa CCM
Rais Samia ateua na kuhamisha viongozi
Shirikisho la Waandishi wa habari Afrika Mashariki laanzishwa kutetea haki za wanahabari
TLSB: Serikali mwaka huu itatenga fedha nyingi za ununuzi wa vitabu vya ndani
Kwenye uchaguzi wa BAVICHA rushwa ilikuwepo -Wakili Mahinyila
Lema amjibu Wenje, amuita muongo
UNCDF yataka jamii kuelimishwa zaidi matumizi ya nishati safi
Vifo Gaza vyafikia 77 kufuatia mashambulizi ya Israel
NCC yahimiza ujenzi wa majengo salama na yanayozingatia afya ya watumiaji