Latest Posts
Tanzania, Marekani kushirikiana katika eneo la ufadhili wa michezo
Na Shamimu Nyaki, JamhuriMedia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amafanya mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Michael Battle yaliyojikita katika kuendeleza Sekta za wizara hiyo. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Oktoba 3, 2023 jijini Dar…
Watumishi madini watembelea mgodi wa North Mara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Kundi lingine la Watumishi wapatao 14 kutoka kada mbalimbali za Wizara ya Madini ikihusisha Makatibu Mahususi, Watunza Kumbukumbu na Wahudumu wametembelea Mgodi wa North Mara uliopo Mkoani Mara. Ziara hiyo ni sehemu ya mwendelezo wa…
Ujumbe wa Tanzania Thailand wakutana na Mtanzania anayemiliki kiwanda cha nguo
Wakati wa ziara ya ujumbe wa Tanzania nchini Thailand, mbali na kutembelea shughuli za madini, ulipata wasaa wa kukutana na kijana wa Kitanzania Suleiman Kilonda aliyewekeza jijini Bangkok nchini humo kwa kumiliki kiwanda cha kushona na kuchapisha fulana cha Sk…
Serikali yasitisha shughuli za wananchi eneo la mto Maleta Kisiwa cha Chole, Mafia
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Mafia SERIKALI imeagiza mara moja kusitishwa kwa shughuli za wananchi katika eneo la mto Maleta, kwa kuwa ni eneo la Uhifadhi wa bahari na ni chanzo cha maji na mazalia ya samaki pia ni sehemu ambapo mto…
Kapinga: TANESCO boresheni mfumo wa utoaji huduma kwa wateja kupunguza malalamiko
Na Zuena Msuya, JamhuriMedia, Dar Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuboresha mfumo wa utoaji huduma kwa wateja ili kupunguza malalamiko na kuwapatia wananchi hao huduma ya umeme kwa wakati. Mhe. Kapinga ametoa…
Ukarabati uwanja wa Benjamini Mkapa washika kasi kuelekea ufunguzi michuano ya AFL
Na Eleuteri Mangi WUSM, Dar es Salaam Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro ameridhishwa na kasi ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa utakaotumika kwenye ufunguzi wa Michuano ya African Football League (AFL) Oktoba 20, 2023 jijini…