JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbunge Prof. Muhongo na wadau wafanikisha harambee ujenzi wa Etaro sekondari kisiwa cha Rukuba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Musoma Vijijini MBUNGE wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof. Sosepter Muhongo kwa kushirikiana na viongozi wakiwemo wakuu wa Wilaya ya Musoma na Halmashauri yake (Musoma DC), waemeendesha harambee ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Etaro, ambayo…

Wananchi Momba, Songwe waipongeza TARURA kwa ujenzi wa barabara Ikana – Iyendwa-Namchika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Momba Wanachi wa Wilaya ya Momba mkoani Songwe wameeleza kufurahishwa kwao na ujenzi wa Barabara ya Ikana – Iyendwa – Namchika yenye urefu wa kilomita 33 ambapo hapo awali ilikuwa haipitiki na kusababisha adha kubwa ya…

Njia ya matundu kutumika upandikizaji figo Mloganzila

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila itafanya huduma ya kibingwa na Bobezi ya Upandikizaji figo…

EWURA yafungia vituo vingine vya mafuta

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaEWURA imevifungia vituo vingine viwili vya mafuta kwa kosa la kuhodhi mafuta, kati ya mwezi Julai na Agosti 2023, Vituo hivyo ni Rashal Petroleum Ltd-Mlimba, Mkoa wa Morogoro na Kimashuku Investment Co. Ltd-Babati, Mkoa wa Manyara. Akizungumza…

Mwandishi Mathias Canal achangia mil.4/- shule ya msingi Kiomboi Bomano wilayani Iramba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mwandishi wa habari Mathias Canal amechangia madawati 30 yenye thamani ya shilingi 2,100,000, na vitakasa mikono 20 vyenye thamani ya shilingi 1,400,000. Ametoa mchango huo leo Septemba 29, 2023 wakati akizungumza kwenye mahafali ya 60…