Latest Posts
CCM Morogoro wampongeza Dk Rose kwa kuchangia ofisi za chama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero MWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk. Rose Rwakatare, ameahidi kutoa mabati 100 kwaajili ya ujenzi wa ofisi ya chama hicho Wilaya ya Kilombero inayoendelea kujengwa ambayo itagharimu milioni 250. Alitoa ahadi hiyo jana…
Serikali yazitaka taasisia fedha kutoa mikopo kufuata utaratibu
Na Josephine Majura, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera, kiutawala na kisheria ili kudhibiti tabia ya baadhi ya taasisi za fedha kutoa mikopo kinyume na miongozo iliyopo. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri…
Watumishi Wizara ya Fedha watakiwa kuendelea kuzingatia sheria
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi.Jenifa Omolo akiwataka watumishi wa Wizara kutoa maoni yao yatakayosaidia katika kuboresha utendaji wakati wa mkutano wa 37 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha uliofanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania,…
Mkuu wa Majeshi akutana ma Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa anayeshughulikia amani
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda leo amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Operesheni za Ulinzi wa Amani ( UN Under Secretary General for Peace Operations) Bw. Jean Pierre Lacroix…
Rais wa Mabunge Duniani Dk Tulia akutana na Balozi wa Norway nchini
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Tanzania Mhe. Tine Tonnes Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo…





