Latest Posts
Dk Mpango atoa maelekezo 10 ya kuboresha sekta ya nyuki, apongeza Wizara ya Maliasili
Na John Mapepele. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango ametoa maelekezo kumi yatasaidia kuimarisha sekta ya nyuki ili iweze kuchangia mapato ya Serikali na kwenye uchumi wa taifa kwa ujumla Mhe. Mpango ametoa…
Agri Connect yaongeza mnyororo wa thamani wa mazao Mufindi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mufindi Imeelezwa kwamba kukamilika kwa ujenzi wa Barabara ya Km. 30.3 kutoka Sawala -Mkonge- Iyegeya uliogharimu shilingi bilioni 12.17 kupitia mradi wa Agri- Connect unaofadhiliwa na Jumuiya ya Ulaya (EU) umeongeza mnyororo wa thamani wa mazao…
Urambo , Kaliua wafanya kikao cha ujirani mwema kupitia upya mipaka ya kiutawala – DED Grace
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Kaliua Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora Grace Quintine amesema wamefanya Kikao cha Ujirani mwema na Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua ili kupitia upya mipaka ya Kiutawala kati ya Wilaya ya Urambo…
RC Makonda azindua magari ya zimamoto na uokoaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda amelitaka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Arusha kushirikiana na Mamlaka ya Maji katika kuvitambua, kuviendeleza na kuvitunza visima maalum vya maji vilivyokusudiwa kutumika na jeshi…
Thiago Silva amwaga machozi akiagwa Chelsea
Na Isri Mohamed Beki wa kati wa Brazil, Thiago Emiliano Da Silva, ameagwa rasmi na klabu na wachezaji wenzake usiku wa kuamkia leo, mara baada ya mkataba wake kumalizika na kutoongeza kandarasi ya kusalia klabuni hapo. Silva ambaye amedumu Chelsea…
Balozi Phaustine ateta na mjumbe wa kamisheni ya Siasa Msumbiji
Leo tarehe 20 Mei 2024, Phaustine Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na Alcinda António de Abreu, Mjumbe wa Kamisheni ya Siasa ya Chama cha FRELIMO. Kupitia mkutano huo uliofanyika kwenye Ofisi za Makao Makuu ya FRELIMO…




