Latest Posts
Tanzania, Burundi zasaini hati za makubaliano ya ushirikiano sekta ya madini
Bujumbura, Burundi Mawaziri wa Sekta ya Madini wa Burundi Mh. Eng. Ibrahim Uwizeye na Tanzania Mh. Anthony Mavunde leo wamesaini hati ya makubaliano ya kushirikiana kwenye sekta ya madini ili kukuza mchango wa sekta hii katika uchumi wa nchi mbili…
Taifa Gas yajidhatiti kufikisha huduma ya gesi kwa gharama nafuu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Limited imesema imejidhatiti kuweza kufikisha huduma ya gesi nchi nzima kwa gharama nafuu. Hayo yamebainishwa jijini Dar es…
Polisi kuimarisha usalama uzinduzi wa mbio za mwenge Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Jeshi la Polisi-Kilimanjaro Jeshi la Polisi nchini limesema limejipanga vyema kuimarisha uzinduzi wa mbio za Mwenge ambazo zinazonduliwa Aprili 2,2024 mkoani Kilimanjaro. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi CP Awadhi…
Wanaotorosha korosho kwenda nje ya nchi waonywa siku zao zinahesabika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, BODI ya Korosho Tanzania mkoani Tanga imewaonya wakulima wenye tabia za kutorosha Korosho kwenda kuuza nje ya nchi kuacha mara moja kufanya hivyo kwani siku zao zinahesabika kutokana na vyombo vya dola vinawatambua na watapokamatwa watashughulikiwa…





