Latest Posts
OSHA yapima wananchi 300 Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) umesema Maonesho ya 48 ya Biasahara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu Sabasaba yanafanyika katika Viwanja vya Julius Nyerere yamekuwa ya manufa ambapo…
Waziri Mkuu : Watanzania limeni maparachichi
*Silinde asema sh. bilioni 3.4 kujenga kiwanda, ahimiza wananchi wauze mahindi NFRA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wana-Iringa na Watanzania kwa ujumla waingie kwenye kilimo cha Parachichi kwa kuwa zao hilo linachochea ukuaji wa uchumi. Amesema kuwa katika kipindi cha…
CPA MAKORE: Waleteni VETA wenye mahitaji maalum wapate ujuzi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) CPA Anthony Kasore ametoa wito kwa jamii kuacha kuwafungia watu wenye mahitaji Maalum na badala yake wawapeleke VETA kupata ujuzi wa aina…
Katibu Gavu: Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Vijana wameshauriwa kuanzia mwaka huu 2024 waache kulalamika kuwa hawapewi nafasi za uongozi hivyo wajitokeze kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali ili wapate kushika hatamu kuongoza nchi yao ikiwemo ubunge, udiwani, unyekiti wa Serikali…
Sakata la sukari bado gumzo bodi yatoa ufafanuzi namna vibali vilivyotolewa
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania, Prof. Kenneth Bengesi, amesema wanaendeleza mchakato wa majadiliano na wadau wa sekta hiyo nchini lengo ni kuhakikisha maslahi ya umma na wadau yanalindwa. Amefafanua hayo Mwishoji…
Waziri Makamba aongoza kikao cha mwaziri nchi 15 za Jumuiya za EAC
Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba (Mb) ameongoza Mkutano wa faragha wa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wanaoshughulikia masuala ya Afrika Mashariki katika Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika…





