Latest Posts
Serikali yasikiliza kilio cha waliokuwa wafanyakazi wa Tanzania Plantation LTD
Na Mwandishi Wetu, Arumeru Serikali imesikiliza kilio cha waliokuwa wafanyakazi katika shamba la Tanzania Plantation lilipo wilaya za Arusha na Arumeru mkoa wa Arusha kwa kuwapatia maeneo kwa ajili ya kujenga makazi, kilimo pamoja na ufugaji. Akizungumza na wananchi wa…
Mbunifu wa mavazi azindua tai kirungu
Na Mwandishi Wetu, Mbunifu wa mavazi nchini mwenye kufanya kazi za Sanaa ya ubunifu wa mavazi, Didas Katona akifahamika zaidi kama ‘Katona Kashona’, anatarajia kuzindua Tai kirungu ((Bow Tie), tukio litakalofanyika Agosti 4, ukumbi wa Club The Marz zamani Nyumbani…
Tume ya Ushindani yapata mafanikio lukuki
Na Immaculate Makilika- MAELEZO Tume ya Ushindani (FCC) imeendelea kupata mafanikio katika kutekeleza lengo lake kuu la kuongeza ufanisi katika uzalishaji, usambazaji na ugavi wa bidhaa na huduma katika kuhakikisha mazingira sawa ya ushindani wa soko baada ya nchi kuondokana…
DCEA yateketeza hekari 489, yaendesha operesheni kwa siku nane mfululizo Moro
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Vyombo Vingine vya Ulinzi na Usalama wakiwemo JKT Ruvu imefanya operesheni ya siku nane mfululizo mkoani Morogoro katika wilaya za Morogoro, Morogoro Vijijini na Mvomero…
Ofisi ya Makamu wa Rais yawakaribisha wadau, wananchi Nanenane Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbeya Ofisi ya Makamu wa Rais imeungana na Wizara, Idara, Wakala na Taasisi za Umma na Binafsi katika kushiriki Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya. Maadhimisho hayo…
Timu ya wakaguzi kutoka CAF imehitimisha ukaguzi salama
Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia, Zanzibar Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda kuwa wenyeji AFCON 2027, kutoka Shirikisho la Mpira Afrika (CAF) imehitimisha ukaguzi wao salama Agosti 2, 2023 Zanzibar. Akizungumza mara baada ya kikao…