Latest Posts
Rais Samia awahakikishia umeme wa uhakika wenye viwanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mitambo miwili ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji mkoani Pwani itawashwa mapema mwakani na kusaidia kuongeza kiwango cha umeme nchini. Aliyasema hayo jana usiku kwenye…
Hospitali Tunduru yaanza uchunguzi wa kifua kikuu kwa watoto kupitia haja kubwa
Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Ruvuma Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Hospitali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma,imeanza kampeni ya kuwapima maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu watoto wadogo kupitia haja kubwa kutokana na watoto hao kutokuwa na uwezo wa kutoa…
RC Chalamila apongeza Kampuni ya Derm Group
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa pongezi hizo katika sherehe za miaka 25 ya mafanikio ya Kampuni hiyo toka kuanzishwa kwake, hafla iliyofanyika Desemba 16,2023 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Ilala jijini Dar es Salaam. Akiongea…
Serikali kuunganisha mashirika 16, kufuta manne
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeekeza kuunganishwa mashirika na taasisi 16 na kufuta mengine manne yaliyokuwa chini ya Msajili wa Hazina ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…





