JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hiki hapa kikosi cha Simba dhidi ya Ihefu

Kikosi cha Simba dhidi ya Ihefu mchezo wa Ligi Kuu Bara namna hii:- Ally Salim yupo langoni, Israel Mwenda, Gadiel Michael kapewa kitambaa cha unahodha Onyango,Kennedy Juma,Ismail Sawadogo, Pape Sakho, Mzamiru Yassin, Jean Baleke, Habib Kyombo, Kibu Dennis

Watu 72 wafa maji Ufilipino kipindi cha Pasaka

Watu 72 wamekufa kwa kuzama kwenye maji tangu mwanzo mwa mwezi huu, huku rekodi ikionesha vifo vingi zaidi vimetokea katika kipindi hiki cha mapumnziko ya siku za Sikukuu ya Pasaka. Kwa mujibu wa msemaji wa Jeshi la Polisi la Ufilipino,…

CAG abaini madudu ukaguzi wa REA 2015/16-2019/20

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebaini kuwepo kwa mapungufu ya utandaji umeme vijijini na kuashiria kuwepo kwa mianya ya ubadhirifu wa fedha. Hayo yamebainika katika ripoti yake ambapo katika ukaguzi Mamlaka ya Nishati Vijijini…

Mwenyekiti auawa kwa tuhuma za wivu wa mapenzi Chato

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato Wakati waumini wa dini ya kikristo duniani wakiendelea kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, huko wilayani Chato mkoani Geita kumetokea mauaji ya mwenyekiti wa kitongoji cha Mwabazengi, Kata ya Muungano, Robert Msodock, baada ya kukutwa akiwa na…

CHADEMA: Tunahitaji hatua zaidi ripoti ya CAG

Na Tatu Saad, JamhuriMedia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimechambua ripoti ya CAG ambapo wamesema Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), haitoshi bali hatua zaidi zinatakiwa kuchukuliwa….

13 wafariki baada ya gari walilopanda kutumbukia mtoni Ruvuma

Na Cresensia Kapinga ,JamhuriMedia, Songea Wafanyabiashara 13 wamefariki na wengine wawili wamejuruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutumbukia mto Njoka wakati wakitoka Ndongosi mnadani kuelekea kijiji cha Namatuhi wilayani Songea mkoani Ruvuma. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 10,…