Latest Posts
Rais Samia kumaliza rufaa za wagonjwa wa nje ya nchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Molel amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewekeza zaidi ya Trilion 6.7 katika sekta ya afya ili kuhakikisha anamaliza Rufaa za Wagonjwa wa…
Waziri Mbarawa ataka kasi ujenzi reli ya SGR
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Ujenzi Profesa Makame Mbarawa amemwagiza mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR kutoka Makutupora-Tabora kuongeza kasi ili kukamilisha mradi huo kwa wakati. Ametoa agizo hilo jana baada ya kutembelea…
Tanzania kuadhimisha siku ya mbolea Tabora
Na Allan Vicent, JamhuriMedia,Tabora TANZANIA inatarajiwa kuungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya mbolea duniani itakayofanyika Kitaifa Mkoani Tabora kuanzia tarehe 11 hadi 13 Oktoba mwaka huu katika Uwanja wa Chipukizi uliopo katika Halmashauri ya Manispaa Tabora. Akitoa taarifa kwa…
Kasi ya usambazaji dawa unaofanywa na MSD waondoa uhaba wa dawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Ongezeko la awamu za usambazaji wa dawa kutoka nne kwa mwaka hadi sita umetajwa kusaidia kuondoa uhaba wa dawa katika maeneo ya huduma na kuondoa upelekaji wa dawa zilizokaribia kuisha muda katika vituo vya afya….