JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Nape kufungua Kongamano la 12 la Kitaaluma la TEF Morogoro

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),linatarajia kufanya Kongamano la 12 la Kitaalamu mkoani Morogoro ambapo linatarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye. Akizungumza na vyombo vya habari kuhusu kongamano hilo la siku…

Ummy awajulia hali waliowekwa karantini kwa kuwahudumia wagonjwa wa Marburg

Na WAF – Bukoba,JamhuriMedia,Kagera Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewatembelea watumishi wa afya waliowekwa sehemu maalumu ya uangalizi baada ya kuwahudumia wagonjwa wa Marburg walioripotiwa katila Wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera. Ziara hiyo ameifanya leo akiambatana na Wawakilishi kutoka Shirika…

Azam hatihati kumkosa Ibenge

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Miamba kutoka Azam Complex huwenda ikashindwa kunasa saini ya kocha kutoka DR Congo, Florent Ibenge ambaye amekuwa akitajwa kuwaniwa na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu 2022/23. Inaelezwa kuwa mabosi wa klabu ya Al Hilal ya nchini…

Amrouche aipongeza Uganda

Na Tatu Saad,JAMHURIMEDIA Licha ya ushindi wa bao 1-0 walioupata Taifa Stars dhidi ya Uganda katika mchezo wa kundi F kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika ‘AFCON 2023’ uliopigwa katika uwanja wa Suez Canal Authority uliopo nchini Misri,kocha Adel Amrouche…

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka miwili ya SSH

Na Idd Mohamed JAMHURI MEDIA Jumla ya Shilingi 223,917,101,547.11 zimepelekwa wilaya ya Tunduru kusimamia shughuli mbalimbali za maendeleo tangu mwezi Machi 2021 – Machi 2023, miaka 2 ambayo serikali ya Tanzania imeongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Wilaya…

Mandonga amchapa Mganda,ajinyakulia taji

Bondia machachari na mwenye mbwembwe nyingi Karim Mandonga amechampa Mganda Kenneth Lukyamuzi na kutwaa ubingwa wa PST uzani wa Light-Heavyweight. Mandonga ameshinda kwa pointi katika pambano hilo la raundi 8 na kutwaa ubingwa huo wa kwanza kabisa katika maisha yake…