JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wizara ya madini yashinda tuzo kipengele cha nishati, madini

Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Taasisi zake na Wadau wa Sekta ya Madini imeibuka Mshindi Namba 1 katika kipengele cha Nishati na Madini kwenye kilele cha Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Sabasaba Asanteni sana wananchi na wadau wote…

Moshi wa mkaa na kuni, chanzo kingine cha upumuaji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani “Nimetumia kuni kwa miaka takriban kumi na mkaa nimeutumia kwa zaidi ya miaka mitano ,pamoja na mabaki ya mbao katika biashara yangu ya kuuza chips,mishkaki na kukaanga kuku” Katika miaka yote hiyo sikujua kama nazalisha hatari…

Serikali yatoa milioni 560 kujenga sekondari mpya Mbinga

Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Mbinga Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan Imetoa zaidi ya shilingi milioni 560 kupitia program ya Uboreshaji Elimu ya Sekondari (SEQUIP) kujenga sekondari mpya wilayani Mbinga. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga…

Watu sita wauawa katika maandamano ya upinzani nchini Kenya

Watu sita waliuawa Jumatano nchini Kenya katika mapambano kati ya Polisi na waandamanaji walioshiriki maandamano ya upinzani yaliyopigwa marufuku, maafisa na polisi wameliambia shirika la habari la AFP. Baada ya ghasia hizo za Jumatano, Waziri wa Mambo ya Ndani Kithure…

Marekani yapeleka msaada wa kijeshi Ukrane

Wanachama wa Nato wanafikiria kuisaidia Ukraine silaha zaidi na risasi kwa ajili ya kuendelea kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi.  Nchi ya Marekani imekuwa mstari wa mbele kutoa msaada mkubwa wa kijeshi kwa Ukraine, ambapo imetangaza tena kuwapa msaada mpya…