JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dalili 10 za mwanaume anayekupenda kweli

Miongoni mwa mambo yanayowatesa mabinti wengi ni kutokujua ni mwanaume gani hasa anayempenda kwa dhati, kwa sababu kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha mwanaume mwenye mapenzi ya kweli na ‘tapeli’. Ungana na mimi mwandishi wako Isri Mohamed Anakuweka karibu na Mungu…

Gardiel Michael huyo kwa Madiba

Nyota na nahodha wa timu ya Singida Foutain Gate, Gardiel Michael Kamagi,  ametimkia zake kwa Madiba nchini Afrika Kusini kujiunga na timu ya Cape Town Stars kwa mkataba wa miaka miwili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Rais wa Singida…

Taasisi za umma Kongwa zahimizwa kuwa na mipango ya matumizi ya ardhi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon Mayeka amezielekeza Taasisi za Umma Wilayani Kongwa kuwa na mipango ya muda mrefu ya matumizi ya ardhi, itakayowezesha uhifadhi wa mazingira. Aidha amewataka wananchi kushiriki kwenye shughuli za…

Dk Feleshi : Mawakili wa Serikali kila mmoja atimize wajibu wake

Na Mwamvua Mwinyi, jamhuriMedia, Pwani MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi ametoa rai kwa mawakili wa Serikali , kila mmoja kutimiza wajibu wake na kufuata maadili na miiko kwenye majukumu yao. Aidha amewaasa kuwa waadilifu na kutenda…