Latest Posts
Wanawake watakiwa kuungana na kushikama kufikia usawa wa kijinsia
Na WMJJWM, JamhuriMedia, Geita Wanawake nchini wametakiwa kuungana na kushikamana Imara zaidi ili kufikia malengo ya ajenda ya maendeleo ya wanawake hasa usawa wa kijinsia. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito…
Watatu wafariki kwenye mapigano ya wakulima na wafugaji Tunduru
Na Steven Augustino,JamhuriMedia,Tunduru WATU watatu wakazi wa vijiji vya Matekwe,Wilaya ya Nachingwea,mkoani Lindi na Tinginya Wilaya ya Tunduru, Mkoa wa Ruvuma,wamefariki dunia katika mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyozuka katika maeneo hayo. Kufutia hali hiyo diwani wa Kata ya Tinginya…
CTI yahimiza wenye viwanda washiriki maonyesho ya viwanda Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TanTrade), wameandaa maonyesho makubwa ya kimataifa ya viwanda ambapo zaidi ya viwanda 200 vya ndani na nje ya nchi vitashiriki maonyesho hayo….
Mwalimu ashikiliwa kwa tuhuma za kuwaingizia wanafunzi vidole sehemu za siri
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia mwalimu wa shule ya msingi Mwembetogwa iliyopo Mtila Kata ya Matola Halmashauri ya Mji wa Njombe,kwa tuhuma za kuwaingizia vidole sehemu za siri na kuharibu usichana wao. Kamishna Msaidizi…
Rc Mara atishia kutumia JKT kuhamisha halmashauri
Na Raphael Okello, JamhuriMedia,Musoma MKUU wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda amewataka watendaji wakuu katika halmashauri za Wilaya ya Musoma na Bunda kuhamia katika majengo ya ofisi zao mpya ifikapo Oktoba 20, mwaka huu . Mtanda ametoa agizo hilo Septemba…