JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Misaada hii itasaidia kutekeleza miradi ya maendeleo” – Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na msaada wa fedha zilizotolewa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) kwa lengo la kuimarisha miradi itakayoongeza tija na ufanisi katika sekta mbalimbali ambayo inatekelezwa nchini. Akizungumza…

‘Tunaishukuru Korea Kusini kusaidia huduma za afya’

NAIBU Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, Dk Julieth Magandi amesema Serikali ya Korea Kusini kupitia vyuo na taasisi zake, imekuwa na ushirikiano uliowezesha hospitali kuongeza ufanisi katika utoaji huduma bora kwa wananchi. Dk Magandi amesema hayo leo alipokutana na…

Prof.Shemdoe aongoza timu ya wataalam kwenda nchini Ireland

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe ameongoza timu ya wataalam kutoka nchini Tanzania unaotembelea nchi ya Ireland kwa ajili ya mashirikiano ya namna ya kuboresha Sekta ndogo ya Maziwa Nchini Tanzania Kwa…

Bahi kinara ukamilishaji miradi ya BOOST

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amekabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Bahi Godwin Gondwe madarasa 51, vyoo 63 na nyumba 1 ya waalimu ikiwa ni sawa na shule 7 zilizokamilika katika Wilaya ya Bahi….

Ulega: Wizara imejipanga kuwawezesha vijana,wafugaji kufuga kisasa

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema Wizara yake imejipanga  kuanzisha programu ya BBT Mifugo katika Ranchi ya Mkata kwa lengo la kuwawezesha vijana na wafugaji wengine kufanya ufugaji wa kisasa na wenye tija kubwa zaidi kwao na kwa…

‘Redio na runinga 38 duniani zinarusha matangazo kwa lugha ya kiswahili ‘

Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amewataka Wahariri kushirikiana na mabaraza ya Kiswahili ya BAKITA na BAKIZA ili kuendeleza lugha ya Kiswahili. Amesema kuwa lugha ya Kiswahili imevuka…