Latest Posts
Mloganzila yajipanga kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza kwa watumishi wake
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imezindua Mloganzila Afya Jogging Club kwa lengo la kuhamasisha watumishi kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kukabiliana na magonjwa yasiyo ambukiza. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Club hiyo kwa niaba ya Naiba Mkurugenzi Mtandaji,…
Jafo awakumbusha Watanzania kutunza mazingira
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo, akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuongoza zoezi la upatandaji miti lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Dodoma ikiwa ni sehemu…
IGP mstaafu Mwema azindua kitabu chake kinachozungumzia utawala na usimamizi wa sheria
Na Abel Paul wa Jeshi la Polis -Dar es Salaam Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (mstaafu,) Tanzania IGP Said Ally Mwema jana june 23,2023 amezindua kitabu alichokiandika chenye Sura Tisa na kichwa cha habari kisemacho POLISI,UTAWALA NA USIMAMIZI WA…
Yanga yamtambulisha kocha mkuu mpya
Timu ya Yanga SC imemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Miguel Angel Gamondi kuinoa timu hiyo msimu ujao akichukua nafasi ya Nasreddine Nabi aliyemaliza mkataba wake. Kocha huyo raia wa Argentina ametambulishwa leo Juni 24 na Ofisa Habari wa Klabu hiyo, Ally…
Sekta ya filamu nchini inapiga hatua kubwa Afrika
Na Eleuteri Mangi, WUSM, Dar es Salaam Serikali inaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya filamu nchini kupitia Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania ambao miongoni mwa wanufaika wa mfuko huo ni wasanii wa filamu ili kuboresha kazi zao ziwe…
Watu 708 wapimwa moyo Pemba
……..………………….. Na Mwandishi Maalum , Pemba Watu 708 wamepata huduma za upimaji na matibabu ya moyo katika kambi maalum ya matibabu iliyofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Abdulla Mzee iliyopo wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba. Kambi hiyo ya siku tano…