JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaonya wanaotumia makao ya watoto kujinufaisha

Na Raymond Mushumbusi, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imewaonya wamiliki wa Makao ya kulea watoto nchini waliogeuza Makao hayo kujinufaisha kwa misaada mbalimbali inayotolewa hasa ya fedha. Onyo hilo limetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum…

Wananchi wa Mbarali na kata sita kawasikilizeni wagombea, mpige kura

Na Mroki Mroki, JamhuriMedia Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Septemba 19,2023 kuwa ni siku ya kupiga kura katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Mbarali na Kata sita (6) za Tanzania Bara. Tume ilitangaza uchaguzi huo baada ya kuketi katika…

Ubora maabara ya GST yavutia miradi mikubwa kupima sampuli za madini

Kamati yaipongeza kwa kujiongeza Yaweka mikakati ya kufikisha huduma za maabara kikanda Dkt. Kiruswa aitaja kuwa Kitovu cha Utafiti wa Madini Nchini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Dkt. Mussa…

Makatibu siasa na uenezi CCM waaswa kuacha kujiingiza kwenye migogoro

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Makawa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya zote, Mkoani Pwani wameaswa kuacha kujiingiza katika migogoro na kuwa sehemu ya wapiga debe kwa wanachama walioanza kucheza rafu ili kuwania nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi…