JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

PROF.Mkenda atoa wito kwa Watanzania kuandika vitabu

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda ametoa wito kwa watanzania kupenda kuandika kwa kuwa kinachoandikwa kinatoa funzo kwa vijana na jamii kwa ujumla. Ametoa wito huo Jijini Dar es Salaam wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa Kitabu On my father’s…

Ridhiwani agawa pikipiki kwa watendaji wa kata Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Chalinze Naibu Waziri wa Ardhi ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete amegawa pikipiki kwa watendaji wa kata 6 za Halmashauri ya Chalinze, pamoja na kutembelea kiwanda cha Uzalishaji wa marumaru cha Keda. Pia, amepokea…

Serikali yataka aliyemlawiti mwanaye Arusha achukuliwe hatua kali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo wahakikishe wanamfikisha katika vyombo vya sheria baba mzazi wa mwanafunzi wa darasa la pili (7) katika Kata ya Sokoni One mtaa…

Jeshi la Polisi laja na mbinu mpya ya kuzuia uhalifu

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Nchini kupitia Kamisheni ya Polisi Jamii limekuja na mbinu ya kuzuia matukio ya uhalifu hususani ya mauaji pamoja na ya ukatili. Kamishna wa Polisi Jamii Nchini CP.Faustine Shilogile wakati akizungumza na…

Bil.7.5 kukarabati kivuko MV Magogoni

Na Alfred Mgweno -TEMESA Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imesaini mkataba wa ukarabati wa kivuko cha MV. Magogoni wenye thamani ya shilingi bilioni 7.5. Mkataba huo umesainiwa leo katika eneo la kivuko cha Magogoni Kigamboni jijini…