JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

BoT yatahadharisha wanaoshikilia dola

Banki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tahadhari kwa raia wanaoshikilia pesa za kigeni hususani dola ya Marekani kuwa wapo katika hatari ya kupata hasara kubwa kutokana na uamuzi wao huo wa kuficha pesa hizo wakitegemea kupata faida katika soko la…

Nondo 10 za RC Chalamila kwa wakazi wa Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa ufafanuzi wa mambo 10 muhimu kwa mstakabali wa maendeleo na ustawi wa jamii katika Mkoa huo na Taifa kwa Ujumla. RC Chalamila akiongea na Waandishi…

Waziri Mhagama ahimiza mashirikiano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu ), Jenista Mhagama ameitaka Idara ya Ufutiliaji na Tathimini ya Utendaji wa Shughuli za Serikali kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa…

Dkt. Tax akutana kwa mazungumzo na balozi wa Comoro

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Visiwa vya Comoro nchini, Mhe. Dkt. Ahamada El Badaoui Mohamed katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar…