JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DAWASA kuendelea kuwafikia wananchi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kutokana na ukamilishwaji wa miradi ya kimkakati na miradi midogo midogo ya kusogeza huduma kwa wananchi,Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imeweza kufikia zaidi ya wakazi laki saba ambao hapo…

TCDC yabaini mapungufu katoka utendaji kwa baadhi ya vyama vya ushirika

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma TUME ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imekuwa ikifanya ukaguzi wa mara kwa mara katika Vyama vya Ushirika lengo likiwa ni kubaini uzingatiwaji wa matakwa ya Sheria, Kanuni na Miongozo mbalimbali inayohusiana na utendaji wa…

Hospitali zote nchini kuwa na wodi maalumu za uangalizi wa watoto njiti

Na.l WAF – Dar es SalaamSerikali kupitia Wizara ya Afya inafanya juhudi za kuhakikisha Hospitali zote nchini zinakua na wodi maalum za uangalizi wa watoto njiti (NICU) na kushuka hadi katika ngazi ya jamii. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa…

Waziri Mabula ataka wamiliki wa ardhi kumiliki maeneo kwa hati

Na mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Makete Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi nchini kuhakikisha wanamilikishwa maeneo yao kwa kupatiwa hatimiliki za ardhi ili kuwa na salama ya miliki zao. Dkt Mabula alisema…

Prof.Janabi ashauri klabu za soka kuhakiki afya za wachezaji kabla ya usajili

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amezishauri Klabu za soka nchini kufanya uhakiki wa afya za wachezaji kabla ya kuwasajili kuepuka kupoteza gharama pindi wanapopata madhara kiafya. Prof. Janabi ameeleza hayo…