Latest Posts
Waziri Saada: Serikali kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kazi kwa vikosi vya SMZ
Na Sabiha Khamis, Maelezo Zanzibar Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Dkt. Saada Mkuya Salum amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya kufanyia kazi vikosi vya SMZ ili kuendelea kuimarisha ulinzi na usalama nchini. Akizungumza katika ufunguzi…
PICU inavyookoa maisha ya watoto Muhimbili na kutoa mafunzo kwa wataalam nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Uwepo wodi ya watoto wanaohitaji uangalizi maalum (PICU) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili umesaidia kuokoa maisha ya watoto ambao walikuwa wanapoteza maisha hapo awali kutokana na ukosefu wa huduma hiyo. Daktari Bingwa wa Watoto, Dkt….
Waziri Kijaji: Ujenzi wa viwanda na kongani vya kutosha utapunguza tatizo la ajira kwa vijana nchini
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji ,ameeleza ujenzi wa viwanda na kongani za kutosha nchini utasaidia kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana wa kitanzania ambao wanamaliza masomo yao kila mwaka zaidi ya milioni moja…
Mambo ya kutisha yalitokea ndani ya kanisa la TB Joshua, adaiwa kuwabaka na kuwanyanyasa wanawake
Ushahidi wa unyanyasaji ulionea na mateso kutoka kwa mwanzilishi wa mojawapo ya makanisa makubwa ya kiinjili ya Kikristo duniani umefichuliwa na BBC. Makumi ya waumini wa zamani wa Kanisa la Synagogue Church of all Nations – watano Waingereza – wanadai…





