Latest Posts
Bodi ya DAWASA yapongeza maendeleo ya mradi wa JNPPP
………………………………………………………………………………………………….. Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA), imepongeza maendeleo ya utekelezaji ujenzi mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa maji wa bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha jumla ya megawati 2,115…
Waziri Kikwete awaonya Manyara kujiepusha na migogoro ya ardhi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amemuelekeza Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Manyara kuweka mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi na kuwapatia hati wakazi wa eneo la ekari 2,390 zilizotolewa na Rais…
MV. Mwanza ‘Hapa Kazi Tu’ yashushwa majini
Zoezi la kushusha meli moja ya MV. Mwanza ‘Hapa Kazi Tu’ limefanyikwa vyema kwa asilimia 100 na ujenzi wake umefikia asilimia 82. Akizungumza Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi-Uchukuzi Atupele Mwakibete kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Profesa Makame…
Milioni 50 za Dkt.Mpango zawapa morali walimu
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Walimu na wanafunzi wa shule ya Sekondari Tumbi ,Kibaha Mkoani Pwani wamemshukuru Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Philip Mpango kwa kutoa Sh.milioni 50 kwa ajili ya motisha kwa walimu hao. Dkt.Mpango ametoa motisha wiki…
Awataka wananchi kutouza ardhi kama nyanya sokoni
Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaSimanjiro Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Haiyo Yamati Mamasita, amewataka wananchi wa eneo hilo kutouza ardhi rejareja kama nyanya inavyouzwa sokoni. Mamasita ameyasema hayo kwenye kata ya Edonyongijape katika maadhimisho ya…