JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Jafo aridhishwa uzingatiaji sheria ya mazingira bandari Mtwara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Dkt. Selemani Jafo ameonesha kuridhishwa na uzingatiaji wa Kanuni na Sheria ya Mazingira katika Bandari ya Mtwara. Hayo yalijiri wakati wa ziara ya kikazi ya Dkt. Jafo…

Moto wa Mediterania waua zaidi ya watu 40

Zaidi ya watu 40 wamefariki dunia nchini Algeria, Italia na Ugiriki wakati moto wa nyika ukitishia vijiji na maeneo ya mapumziko huku maelfu ya watu wamehamishwa. Ugiriki inajiandaa kwa safari zaidi za uokoaji kutoka Rhodes, wakati moto pia ukiendelea kuwaka…

Madaktari Nigeria waanza mgomo usio na kikomo

Madatari katika hospitali za umma nchini Nigeria wameanza “mgomo na usio na kikomo” kutokana na kile walichokieleza kuwa ni kushindwa kwa serikali kushughulikia malalamishi yao. Madaktari wanaogoma ni asilimia kubwa zaidi ya madaktari katika hospitali za Nigeria. Mgomo wa namna…

Wagonjwa 70 kuzibuliwa mishipa ya damu miguu iliyoziba

Wataalamu wa magonjwa ya moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao Suhail Bukhari kutoka Hospitali ya BLK iliyopo nchini India wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa kuzibua mishipa ya damu ya miguu (Peripheral Interventions) ambayo…

Waziri Mabula ataka wamiliki wa ardhi kulipa kodi kwa wakati

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi nchini kuhakikisha wanalipa kodi ya pango la ardhi kwa wakati ili kuepuka kutozwa riba ya malimbikizo ya kodi hiyo. Dkt Mabula alisema hayo wilayani Ngara…