Latest Posts
Wawekezaji wakaribishwa soko la utalii nchini
Na Andrew Chale, JamhuriMedia WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki amesema Serikali ya Tanzania inafanya maboresho makubwa kwenye miundombinu sekta ya utalii na amewakaribisha wawekezaji kutoka sehemu mbalimbali duniani kuja kuwekeza nchini kwa kuwa Tanzania imejaaliwa kuwa na maliasili…
Kijiji cha Litumbandyosi wampongeza Rais Samia kufikiwa umeme wa REA
Na Lilian Lundo, JamhuriMedia, Ruvuma Wananchi wa Kijiji cha Litumbandyosi kilichopo Kata ya Litumbandyosi, Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kupata umeme kupitia Wakala wa Nishati Vijijini…
Waziri Gwajima : Tanzania mwenyeji mkutano wa kimataifa wa kutokomeza ukeketaji
Na WMJJWM, Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, amesema Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa pili wa kutokomeza Ukeketaji ambao unatarajia kuwa na washiriki 900 kutoka Barani Afrika. Akizungumza na…
Aliyekuwa mtendaji wa kijiji na wenzake nane wahukumiwa kunyongwa Njombe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Mahakama ya Hakimu Mkazi Njombe, imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa tisa akiwemo Beatus Salum aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Kipengere Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe kwa makosa ya mauaji ya ndugu wawili mwaka…
Chongolo akagua maendeleo ya ujenzi Hospitali ya Rufaa Katavi
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kukagua utekelezaji wa…
Dk Biteko azuru kaburi la hayati Rais Magufuli
Leo Oktoba 7, 2023 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezuru na kufanya Sala kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita





