Latest Posts
Tanzania kuadhimisha siku ya mbolea Tabora
Na Allan Vicent, JamhuriMedia,Tabora TANZANIA inatarajiwa kuungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya mbolea duniani itakayofanyika Kitaifa Mkoani Tabora kuanzia tarehe 11 hadi 13 Oktoba mwaka huu katika Uwanja wa Chipukizi uliopo katika Halmashauri ya Manispaa Tabora. Akitoa taarifa kwa…
Kasi ya usambazaji dawa unaofanywa na MSD waondoa uhaba wa dawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Ongezeko la awamu za usambazaji wa dawa kutoka nne kwa mwaka hadi sita umetajwa kusaidia kuondoa uhaba wa dawa katika maeneo ya huduma na kuondoa upelekaji wa dawa zilizokaribia kuisha muda katika vituo vya afya….
Wawekezaji wakaribishwa soko la utalii nchini
Na Andrew Chale, JamhuriMedia WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki amesema Serikali ya Tanzania inafanya maboresho makubwa kwenye miundombinu sekta ya utalii na amewakaribisha wawekezaji kutoka sehemu mbalimbali duniani kuja kuwekeza nchini kwa kuwa Tanzania imejaaliwa kuwa na maliasili…
Kijiji cha Litumbandyosi wampongeza Rais Samia kufikiwa umeme wa REA
Na Lilian Lundo, JamhuriMedia, Ruvuma Wananchi wa Kijiji cha Litumbandyosi kilichopo Kata ya Litumbandyosi, Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kupata umeme kupitia Wakala wa Nishati Vijijini…





