Latest Posts
Bashungwa aeleza mabilioni yaliyotolewa na Serikali wilayani Karagwe
Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameishukuru Serikali inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa katoa zaidi ya shilingi bilioni 1.27 kujenga vyumba vya madarasa, vyoo na miundombinu mingine ya shule za msingi katika halmashauri ya wilaya…
Kinana apongeza uamuzi wa Rais Samia kuunda Wizara ya Mipango
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amepongeza uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan Hassan wa kuunda wizara inayohusika na mipango. Pia, amepongeza hatua ya kuifanya Tume ya Mipango kuwa chini ya ofisi ya Rais…
Injinia Kundo ampa tano Rais Samia
Na Mathias Canal, JamhuriMedia,Simiyu Mbunge wa Jimbo la Bariadi mkoani Simiyu Mhandisi Kundo Mathew amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuhakikisha maendeleo yanawafikia wananchi kwa wakati. Amesema kuwa Rais Samia amekuwa kinara kuhakikisha…