JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bunge: Serikali itafutie ufumbuzi changamoto ya kelele

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo imetoa wito kwa Serikali kutafutia ufumbuzi changamoto ya kelele ambayo imekuwa kero kwa wananchi katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Ndogo Kilumbe Ng’enda wakati wa kikao…

Kamati ya kutathmini hali ya vyombo vya habari yaundwa

……………………………………………………………………………………… Serikali imeunda kamati yenye wajumbe nane ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media Tido Mhando kwa ajili ya kutathimini hali ya vyombo vya habari . Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 24,2023 na waandishi wa habari,Waziri wa Habari,Mawasiliano…

Serikali kuzifungia laini milioni 2 za simu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imetangaza kuzifunga laini za simu zaidi ya milioni mbili ambazo hazijahakikiwa licha ya Serikali kuhimiza wananchi kuhakiki laini zao. Hayo yamebainishwa leo Januari 24,2023 na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye wakati…

Serikali kufuatilia utekelezaji wa gawio SMZ

Ofisi ya Makamu wa Rais imepanga kufanya ufuatiliaji wa gawio kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) pamoja utekelezaji wa Taasisi za Muungano katika kipindi cha Januari 2023 hadi Juni 2023. Pia amesema Ofisi imepanga kutoa semina kuhusu usimamizi wa fedha…

Dkt.Kikwete:Huduma ya afya ya uzazi ipo ndani ya moyo wangu

Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto ni suala ambalo lipo ndani ya moyo wake na ataendelea kutoa mchango kwa Serikali na wananchi kwa ujumla. Dkt. Kikwete ameyasema…

Serikali yatoa ufafanuzi kifo cha Mtanzania Urusi

Serikali imewataka Watanzania kuzingatia na kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi walizopo ili kulinda taswira nzuri ya nchi yao. Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt. Stergomena Tax (Mb) Jijini Dar es…