Latest Posts
Meneja NSSF Ruvuma awaasa wazazi kuzingatia malezi mema
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Ruvuma Yahya Mudhihiri amewaasa wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuona umuhimu wa kuzingatia malezi mema kwa watoto na vijana kwani hivi sasa…
China kuendelea kushirikiana na Tanzania katika sekta ya nishati nchini
Na Zuena Msuya, JamhuriMedia, Dar Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kuwekeza katika kutekeleza miradi ya Sekta ya Nishati nchini. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa…
Mil. 331/- yajenga madarasa kuondoa msongamano wanafunzi shule ya msingi Mambamba
Na James Mwanamyoto (OR-TAMISEMI) Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Deogratius Ndejembi amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 331 kupitia mradi wa BOOST zilizojenga madarasa yatakayotatua changamoto ya msongamano wa wanafunzi katika…
Majaliwa: Tuuze korosho zilizobanguliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakulima zao la korosho wafanye kilimo cha kibiashara kwa kuacha kuuza korosho ghafi na badala yake wauze zilizobanguliwa ili kujiongeza tija zaidi. “Wakati wa kubadilika umefika, tutumie fursa hii kujenga viwanda vya kubangulia korosho na…





