JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia: Sekta ya kilimo kukua kwa asilimia 10 ifikapo 2030

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya kilimo nchini inatarajiwa kukua kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030 ukilinganisha na ukuaji wa sasa wa takriban asilimia 3.6.   Rais Samia amesema Tanzania imetengeneza fursa za kitaifa kwa ajili…

RC Dodoma azindua mradi wa afya ya uzazi kwa vijana

Mkoa wa Dodoma umezindua rasmi mradi unaoshughulikia masuala ya afya ya uzazi kwa vijana na wanawake unaojulikana kama Reproductive Equity Strategy in Tanzania (REST) unaoendeshwa na shirika lisilo la Kiserikali la Deutsche Stiftung Weltbevolkerung (DSW) Tanzania ambao utafanya kazi kwenye…

Rais Samia akizungumza na wawekezaji, wadau wa maendeleo na baadhi ya viongozi wakuu wa Nchi za Afrika nchini Uswizi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wawekezaji, wadau wa maendeleo pamoja na baadhi ya Viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika katika Mkutano wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA)uliofanyika Davos nchini Uswizi…

Binadamu mkongwe zaidi afariki dunia

Binadamu mzee zaidi aliyekuwa anashikilia rekodi ya Guinness amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 118. Sista André aliyezaliwa Februari 11, 1904 na kupewa jina la Lucile Randon  amekutwa amefariki katika makazi yake yaliyoko  mjini Taulon Ufaransa, Reuters imeripoti Msemaji…

Mawaziri wauawa katika ajali ya helikopta Ukraine

Watu 18 wameuawa akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ukraine katika ajali ya helikopta iliyotokea nje ya Mji Mkuu wa Kyiv leo. Taarifa ya Mkuu wa Polisi Ukraine, Ihor Klymenko imesema kati ya watu hao waliopoteza maisha wawili ni…

Tisa mbaroni kwa tuhuma za kuiba vifaa vya SGR

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashilikia watu 9 kwa tuhuma za makosa mbalimbali ikiwa ni pamoja na vifaa vya ujenzi katika mradi wa kisasa wa SGR pamoja na ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi maarufu kama daraja la JPM….