JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waliovamia eneo la hifadhi ya Nanyumbu wapangwa upya

Serikali imeamua kuwapanga upya wananchi wa vijiji viwili vya Mbagala Mbuyuni na Marumba wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara ili kutatua migogoro ya matumizi ya ardhi na kuleta usalama kwenye maeneo hayo. Akizungumza na wananchi wa kitongoji cha Wanika kata ya Mkonona…

Ruvuma yakusanya mapato kwa asilimia 110

Mkoa wa Ruvuma umeweza kukusanya mapato kwa asilimia 110.8 katika mwaka 2021/2022.  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema katika kipindi hicho Halmashauri zote nane zimeweza kukusanya mapato ya zaidi ya shilingi bilioni 21 kati ya lengo la…

Majaliwa amwakilisha Rais Samia kumjulia hali Lowasa

Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt.Samia Hassan Sululu kumjulia hali Waziri Mkuu Mtsaafu Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika Kusini. Akizungumza na wana familia kwa niaba ya Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salamu za pole kutoka kwa rais na…

Mali za mtoto wa aliyekuwa Rais wa Angola dos Santos zashikiliwa

Mahakama ya Juu ya Angola imeamuru kuwekewa”kizuizi” kwa mali zenye thamani ya karibu dola bilioni 1 zinazomilikiwa na Isabel dos Santos, binti wa rais wa zamani wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, shirika la habari la Lusa la Ureno…

Binti akata na kuziondoa nyeti za baba yake

Mwanamke anayedaiwa kuwa na matatizo ya afya ya akili anayefahamika kwa jina Grace Kihumba(30) mkazi wa Wang’ing’ombe mkoani Njombe anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumshambulia baba yake mdogo Tiles Kihumbu (60) akiwa usingizini na kisha kuzikata sehemu…

Yanga wasiwe watoto kwa Fei Toto

Yanga wakiendelea kumsujudia Fei Toto wataingia katika hatari ya kushusha morali ya timu. Siamini kama Fei Toto ndio engine ya Yanga, engine ya Yanga ni Nabi mwenyewe wala sio mchezaji yeyote awaye yote ndio maana kikosi cha Yanga Kila mchezaji…