JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia:Afrika sio salama kwa wala rushwa

Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Mkataba wa Umoja wa Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa ni mfumo wa kisheria unaoziwezesha nchi kushirikiana katika kuzuia vitendo vya rushwa,…

‘Kibali wanaume wanaotaka kusuka ni milioni moja’

Katibu Mtendaji Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar, Dkt. Omar Adam amesema baraza lao limeweka kibali maalum cha kusuka nywele kwa wanaume ambacho hutolewa kwa gharama ya shilingi milioni moja. Dkt Adam ameyasema hayo akiwa kwenye mahojiano…

‘Vitendo vya kuvuliwa nguo kwenyeupekuzi mgodini limekomeshwa’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Manyara Matukio ya wadau wa madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kuvuliwa nguo kwenye upekuzi katika lango la kutokea ndani ya ukuta unayozunguka migodi hiyo yamekomeshwa. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Dkt…

Chana mgeni rasmi tamasha la 14 la Muziki wa Cigogo Chamwino Ikulu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Balozi Dkt.Pindi Chana anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa tamasha la Muziki wa Cigogo ambalo mwaka huu ni la msimu wa 14, tukio litakalofanyika Julai 22, katika Kijiji cha…

Wachezaji Simba wapimwa afya Mlongazila

Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Simba wamefika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa afya zao na kufanya vipimo mbalimbali ikiwa ni maandalizi ya kujiandaa na msimu mpya ya mashindano ya ligi 2023/2024….