Latest Posts
Rais Samia awakumbuka watoto kituo cha Madina Pwani
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi ya Sikukuu za mwisho wa mwaka ikiwa ni pamoja na vitoweo ,mchele , maharage,mafuta ya kupikia ,vinywaji na viungo vingine mbalimbali vya kupikia. Akimwakilisha rais…
Mbaroni kwa kukutwa na kichwa cha tembo kikiwa na meno yote
Na Fredy Mgunda,JamhuriMedia, Iringa JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Askari wa Uhifadhi kutoka hifadhi ya Taifa Ruaha wanamshikilia Cyprian Kasula miaka 42, mkulima na mkazi wa kijiji cha Kipera kwa tuhuma za kukutwa na kichwa cha Tembo kikiwa…
Tanzania yaandika historia ujazaji maji Bwawa la Mwalimu Nyerere
Maelfu ya wananchi wa mikoa ya Pwani, Morogoro na Dar es Salaam wamejitokeza katika zoezi la kuanza ujazaji wa maji kwenye Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP), lililopo wilayani Rufiji mkoani Pwani. Zoezi hilo la ujazaji maji linazinduliwa leo na Rais…
Rais Samia ashiriki zoezi la ujazaji maji bwawa la umeme la Julius Nyerere, Rufiji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kushiriki zoezi la ujazaji maji katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere (JNHPP) lililopo Rufiji Mkoani Pwani leo Desemba 22, 2022 Bwawa la umeme la Julius Nyerere linalojengwa…