JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kupatwa kwa jua leo Aprili 8, 2024, TMA yatoa elimu

Hali ya kupatwa kwa Jua ni tukio linalohusisha kivuli cha mwezi kuangukia juu ya uso wa Dunia ambapo katika maeneo yaliyo ndani ya kivuli hicho Jua huonekana likifunikwa na Mwezi kwa kipindi cha saa chache. Kwa mujibu wa taarifa ya…

Waitahadharisha Serikali harufu ya upigaji migodini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mirerani Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameshauriwa na wamiliki wa migodi ya madini ya Tanzanite kuwa macho dhidi ya wataalamu waangalizi wa serikali maarufu ’jicho la serikali’. Imeripotiwa kutoka kwa wamiliki hao kuwa wataalam hao wako kwa…

Watu 90 wafa maji Msumbiji

ZAIDI ya watu 90 wamefariki dunia baada ya boti yao kupinduka Mamlaka nchini humo zilisema wasafiri hao walikuwa wakikimbia mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu na walikuwa wakitoka Lunga kuelekea Kisiwa cha Msumbiji, kando kidogo ya pwani ya Nampula. Kwa mujibu…

Mwili wa aliyekuwa na deni la Sh milioni 18 wazikwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Familia ya marehemu Juma Jumapili (60), wameishukuru Serikali baada ya kuruhusu kuuchukua mwili wa marehemu huyo uliozuiliwa kutolewa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyoko jijini Mwanza kutokana na kudaiwa gharama za matibabu sh.milioni 18. Akizungumza…

Talaka chanzo cha tatizo la watoto wa mitaani, afya ya akili

Na Patricia Kimelemeta, JamhuriMedia TALAKA, ugomvi, mifarakano na migogoro ndani ya ndoa ni miongoni mwa sababu zinazochangia baadhi ya watoto kuishi mitaani na wengine kupata changamoto ya afya ya akili. Hali hiyo pia inawakumba hata watoto walio chini ya miaka…

Simba dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa Aprili 2024

NI rasmi Aprili 20, 2024 Yanga SC watakuwa wenyeji wa watani zao Simba SC katika muendelezo wa kinyang’anyira cha Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023-24. Taarifa iliyotolewa leo na Idara ya Habari na Mawasiliano ya Bodi ya Ligi Kuu…