JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bodaboda kizimbani akituhumiwa kumbaka binti yake wa miaka 11

Dereva wa bodaboda Idrisa Said Bayaga (32) wa kituo cha waendesha pikipiki cha Nyerere Mtaa wa Kawajense Manispaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kushiriki tendo la ndoa na mtoto wake mwenye umri wa 11. Mtuhumiwa…

Ujenzi daraja la kisasa Jangwani kuandika historia mpya

SERIKALI imesaini makubaliano na Benki ya Dunia ya Mkopo Nafuu wa sh. Trilioni 1.24 kwa ajili ya miradi ya umeme vijijini na ujenzi wa uendelezaji wa bonde la Mto Msimbazi utakaohusisha daraja la kisasa la Jangwani. Ujenzi wa daraja la…

Rais Samia kuzindua mradi wa Vihenge Babati

Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufungua mradi wa Vihenge nane mjini Babati wenye uwezo wa kuhifadhi tani 25,000 za mazao. Akitoa taarifa hiyo afisa mtendaji wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Milton…

Serikali yaonesha dhamira ya kweli mchakato wa mabadiliko sheria ya habari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imeeleza kuendelea na mchakato wa mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya habari na hatua inayofuata ni kufanya mapitio ya mwisho ya mapendekezo ya marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016. Akizungumza katika kikao cha…

FIFA yaweka zuio kuvaa kitambaa cha ‘One Love’ Kombe la Dunia Qatar,kinahamasisha ushoga

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limepiga marufuku kitambaa cha “One Love” kwenye Kombe la Dunia 2022linaloendelea nchini Qatar. Kitambaa hicho ni sehemu ya hamasa inayotumiwa na wanasoka wengi Ulaya hususanimanahodha kuhamasisha mapenzi ya jinsia moja (ushoga) ambayo ni kinyume cha…

Silaha haramu kuteketezwa jijini Dar es salaam

Na. Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi nchini limesema tarehe 22 novemba mwaka Mwaka huu litateketeza silaha haramu zilizosalimishwa kwa hiari katika kampeni maalumu iliyofanyika nchi nzima kuanzia septemba 01 mwaka hadi October 31 mwaka huu iliyokuwa…