JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yanadi fursa zake za uwekezaji nchini Ureno

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt. Stergomena Tax amesema Serikali ya Tanzania inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji na ufanyaji biashara nchini ikiwa ni pamoja na kuzifanyia maboresho baadhi ya sheria za usimamizi wa biashara ili kuongeza…

Serikali: Malaria bado ni changamoto na inaipa mzigo Serikali

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa Malaria bado ni changamoto Tanzania na unaipa mzigo mkubwa Serikali katika utoaji wa huduma za afya. Waziri Ummy amesema hayo jana jijini Dodoma wakati akifunga Mradi wa Okoa Maisha uliokua unatekelezwa katika…

RC Ruvuma awapongeza TARURA kwa ufanisi wa kazi

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Rabani Thomas amewataka Makandarasi wazawa kuonyesha uzalendo wa ufanisi wa kazi pindi wanapopewa kazi za ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo za barabara ili waendelee kuaminiwa kupewa kazi zingine. Wito huo ameutoa…

Rais Samia: Mila,desturi zinawakandamiza wanawake

Rais Samia amesema Tanzania inahitaji Sheria Madhubuti kuhakikisha kuwa wanawake wanashiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo na umiliki wa rasilimali. Rais Samia ameyasema hayo leo kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika WiLDAF…