Latest Posts
Ubora wa bidhaa za wajasiriamali watia fora maonesho ya Juakali
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii,Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Riziki Pembe Juma ameeleza kuridhishwa na namna Wajasiriamali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wanavyoongeza viwango vya ubora na ubunifu katika huduma na bidhaa…
Watetezi wa mazingira MECIRA kujadili umuhimu wa utunzaji vyanzo vya maji
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kituo chama Wanahabari ,Watetezi wa Rasilimali na Taarifa MECIRA kimeamua kuwakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo, mazingira, uhifadhi na utalii kwa ajili ya kujadili umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji na uhifadhi wa mazingira. Akizungumza na waandishi…
Filamu ya The Royal Tour yatajwa kuleta ushawishi wa kitalii nchini
Filamu ya ”The Royal Tour”ambayo imetajwa kuleta ushawishi wa Kitalii nchini.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan,Tuzo ya kimataifa ya kuwa muongoza watalii bora nchini kutoka Taasisi ya Kimataifa ya International Iconic Award ya nchini India. Akizungumza…
CCM washauriwa kutopoteza muda kwa malumbano
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amewataka wana CCM kutopoteza muda kwa malumbano na majibizano kwa kuwa kuna kazi muhimu mbele yao ya kujenga Chama na nchi. Amesema Rais Samia Suluhu Hassan…
DC Mgema:Vita ya kugombania maji inakuja
Na Albano Midelo, JamhuriMedia,Ruvuma MKUU Wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Pololet Mgema ameitaja vita kubwa na mbaya ambayo inakuja ni ya kugombania maji. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa kijiji cha Mtyangimbole Halmashauri ya Madaba Wilaya ya…





