JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mawaziri nane wajadili utatuzi wa migogoro ya ardhi vijiji 975

Waziri Mabula Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Angeline Mabula ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta kujadili utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza la Mawaziri kuhusiana na utatuzi wa migogoro ya matumizi…

Shaka akemea watumishi halmashauri kuhusishwa na unyanyasaji wa kingono

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea tabia ya udhalilishaji inayodaiwa kufanywa na baadhi ya watumishi waliopewa dhamana katika halmashauri mbalimbali ikiwemo ya Sikonge. Akizungumza jana wilayani Sikonge, Mkoa wa Tabora akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya…

Uzinduzi asasi za kiraia (AZAKI) suluhisho la maendeleo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Imeelezwa kuwa jitihada za makusudi zinazofanywa na Asasi za kiraia katika kuimarisha ushirikiano miongoni mwa wadau mbalimbali wa sekta hiyo zinatambuliwa na sekta binafsi kama sehemu muhimu ya kuharakisha maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla….

Prof.Muhongo ahamasisha wananchi kushiriki sensa

Na Fresha Kinasa,JamhuriMedia,Musoma Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini mkoani Mara,Prof.Sospeter Muhongo ameendelea na zoezi la kampeni la kutoa elimu na hamasa kwa wananchi wa Kisiwani cha Rukuba ili washiriki kwa ufanisi kuhesabiwa katika Sensa ya Watu na Makazi Agosti…