Latest Posts
Dkt.Tulia achaguliwa kuwa mwenyekiti Umoja wa Mabunge Duniani
Wajumbe wa Kundi la Kijiografia Kanda ya Afrika la Umoja wa Mabunge Duniani (African Geopolitical Group of IPU) wamemchagua Mhe. Dkt. Tulia Ackson Spika wa Bunge la Tanzania, kuwa Mwenyekiti wa Kundi hilo ambapo atahudumu kwa kipindi cha Mwaka Mmoja….
“Tuna imani na Bunge la Novemba kujadili
Maboresho Sheria ya Habari 2016′
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia UBORESHAJI wa vifungu kinzani vya sheria ya habari utaiwezesha tasnia hiyo kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuchangia kuchochea maendeleo ya sekta hiyo na hata taifa kwa ujumla. Matumaini makubwa yatapatikana endapo muswada wa maboresho ya Sheria…
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike
Tarehe 11 Oktoba ya kila mwaka Tanzania uungana na nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambapo lengo la maadhimisho ni kutoa fursa kwa wadau wanaotekeleza afua za watoto hususani watoto wa…





