JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CORONA

Vita sasa ni kusaka chanjo Miezi mitatu baada ya virusi vya corona kuibuka nchini China na kusambaa duniani kote, wanasayansi hivi sasa wamejikita katika kutafuta chanjo ya ugonjwa huo. Tayari majaribio ya chanjo hiyo kwa binadamu yameanza wiki iliyopita katika…

Corona yasababisha biashara kudorora

Kutangazwa kuwapo nchini kwa ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona kumesababisha kusuasua kwa huduma katika baadhi ya masoko jijini hapa. JAMHURI limetembelea masoko ya Kariakoo, Karume na Kisutu ambayo aghalabu huwa na idadi kubwa ya watu wanaouza na…

Kamati yaibua mengi Lodhia, Tanesco

Wananchi wilayani Mkuranga wameutupia lawama uongozi wa Kiwanda cha Nondo cha Lodhia wakidai kunyanyasa wafanyakazi na kutokuwa na ushirikiano kwa jamii inayokizunguka. Wakizungumza mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Subira Mgalu, hivi karibuni, wananchi ambao miongoni mwao ni…

Dar es Salaam ikiweza, Tanzania imeweza

Wiki iliyopita itabaki katika kumbukumbu miongoni mwa Watanzania wengi wa kizazi hiki kutokana na tishio la ugonjwa wa COVID-19 unaotokana na virusi vya corona kusababisha matamko na maelekezo kadhaa kutoka serikalini. Kwa mara ya kwanza katika miaka ya karibuni Tanzania…

MAISHA YANAPOKUPATIA LIMAU, TENGENEZA JUISI YA LIMAU (2)

Maisha yakikupatia pilipili, tengeneza chachandu Kahawa haikujua kama ni nzuri kabla haijakutana na sukari na maziwa. Pilipili pia haikujua kama ina ladha murua kabla haijakutana na nyanya. Chachandu ni mchanganyiko wa mchemsho wa nyanya zilizosagwa na pilipili. Chachandu hutumika kama…

Mtunzi maarufu lakini mwingi wa mizaha

Maandishi ya historia za watu wengi maarufu yanajikita kuelezea maisha yao ya kawaida lakini maisha kama tunavyoyafahamu yana mambo mengi sana, hata hao watu maarufu wana visa na vituko vingi ambavyo ni nadra sana kuonekana katika maandiko kuhusu maisha yao….