Latest Posts
Madhara ya corona yaanza kuonekana kwa wakulima
DAR ES SALAAM NA AZIZA NANGWA Uuzaji wa mazao ya asili nje ya nchi umepungua kwa kiasi kikubwa katika miezi ya hivi karibuni kutokana na kuibuka kwa maambukizi ya virusi vya corona, Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, amethibitisha. Akizungumza na…
Pwani kutumia ‘drones’ kupulizia mikorosho
Chama cha Ushirika mkoani Pwani kimesema kinatarajia kuboresha ukulima wa zao hilo kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya ndege zisizo na rubani (drones) kupulizia mikorosho yote dawa ya Sulphur ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo. Akiongea na JAMHURI, Mwenyekiti wa…
Benki Kuu yaja na kanuni mpya Dawati la Malalamiko
ARUSHA NA ZULFA MFINANGA Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema imo katika mchakato mahususi wa kupanua Dawati la Malalamiko na kuongeza wigo wa kutoa huduma kwa watoa huduma wote za kifedha, tofauti na ilivyo hivi sasa ambapo linapokea malalamiko ya…
Wana Kagera tuungane kuifufua KCU
Kufuatia makala zangu nilizoandika kuhusu Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kagera (KCU), ambacho sidhani kama nitakuwa nimekosea kukiita marehemu, nimepokea maoni mbalimbali, mengi yakitaka niachane na mambo ya kuandika kuhusu chama hicho. Lakini leo nimeona niandike tena. Kusema ukweli uliokuwa…
Wananchi ndilo jeshi muhimu mapambano ya corona
Moja ya mijadala iliyotawala kwenye mitandao ya kijamii wiki iliyopita ni hatua ya Rais Dk. John Magufuli kuwaalika Ikulu baadhi ya viongozi wa upinzani na kufanya nao mazungumzo. Ukiacha mazungumzo hayo, mvuto pia ulikuwa katika picha za video zilizosambazwa na…
Anza wewe kuwa jinsi unavyotaka mtoto wako awe
Hebu leo tubadilishe upepo kidogo kwa kutafuta majibu ya kwa nini watu waovu wanaongezeka licha ya wingi wa makanisa, misikiti hata magareza? Kwa nini matukio ya uovu wa binadamu yanazidi licha ya juhudi kubwa zifanywazo na ulimwengu kudhibiti matukio hayo?…