Latest Posts
Kinana ahitimisha ziara kwa kuzungumza na wana-CCM Mwanza
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amehitimisha ziara yake mkoani Mwanza kwa kuzunguzumza na wanachama wa Chama hicho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini humo. Mkutano huo ulihudhiriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Katibu…
Waziri wa Mambo ya Nje Norway awasili nchini kwa ziara
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway anayeshughulikia masuala ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa na nchi za Nordic,Anne Beathe Tvinnereim amewasili nchini leo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia tarehe 6 – 8 Septemba 2022 na kupokelewa…
Serikali kuja na mapendekezo ya sheria mpya ya usimamizi wa maafa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imeandaa mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya usimamizi wa maafa ili kuweka mfumo wa udhibiti na uratibu wa maafa kwa ajili ya hatua za kuzuia na kupunguza madhara ya majanga, kujiandaa kukabili na kurejesha hali…





