Latest Posts
Rais Samia ashiriki zoezi la ujazaji maji bwawa la umeme la Julius Nyerere, Rufiji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kushiriki zoezi la ujazaji maji katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere (JNHPP) lililopo Rufiji Mkoani Pwani leo Desemba 22, 2022 Bwawa la umeme la Julius Nyerere linalojengwa…
Simba waiondolea Yanga presha kuelekea mechi ya Azam
Siku ya Sikukuu ya Krismas klabu ya Yanga itakuwa wageni wa Azam pale Uwanja wa Mkapa katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili ambapo timu hizo zilitoka sare ya 2-2 katika mechi ya mzunguko wa kwanza. Mechi…
Coastal Union wanapogeuka kituko badala ya kuwa mfano
Klabu ya Coastal Union ya Tanga imekuwa na matokeo ya kushangaza wiki hii hali ambayo sio njema sana kwa kila mpenda maendeleo ya mpira wa miguu hapa nchini. Coastal Union walimtimua kocha wao Yusufu Chippo masaa 12 kabla ya mechi…
Maxime atoa siri ya kuwabana vigogo Kaitaba
Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Mexime, amesema kuwa sare ya 2-2 dhidi ya Azam na sare ya 1-1 dhidi ya Azam anahesabu kuwa kama ni ushindi kwake na amewapongeza wachezaji wake Kwa kucheza mechi mbili kubwa nyumbani na kupata…
Nchi ipo salama mikononi mwa Rais Samia’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lailah Ngozi, amewataka Watanzania kuendelea kumwamini Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa, nchi ipo kwenye mikono salama. Ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku moja…
Dulla Makabila kikaangoni BASATA
Msanii wa Singeli, Dulla Makabila ametakiwa kufika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ili kujadili wimbo wake mpya uitwao ‘Pita Huku’ ambao kwa sasa unafanya vizuri kwa kuwa na watazamaji wengi katika mtandao wa YouTube. Makabila amepata barua wito huo…





