JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ni kweli hawayaoni au hawataki tu kuyaona? (3)

Katika sehemu iliyopita ya makala hii tuliona jinsi Gavana wa mwisho Mwingereza, Sir Richard Turnbull, alivyomsifia Mwalimu Nyerere baada ya kutembezwa sehemu mbalimbali nchini na kujionea maendeleo ambayo nchi ilikuwa imeyapata katika kipindi cha miaka kumi baada ya kupata Uhuru….

Ufanye nini marehemu anapoacha kesi mahakamani?

Nitoe mfano, ndugu yako amefariki dunia lakini ameacha shauri mahakamani ambalo alikuwa akidai kitu fulani kama haki yake. Yaweza kuwa alifungua kesi kudai ardhi, nyumba, mirathi, mgogoro wa kimkataba, fidia au madai  mengine yoyote. Kwa hiyo, tutatazama ni jambo gani…

Acha kubeba mzigo wa wivu (1)

“Wivu  ni  kansa  ya  akili’’.  – B.C. Forbes  Acha  wivu.  Wivu  hautajirishi.  Wivu  hauna  tuzo  ya aina  yoyote. Wivu  ni  kubeba  msalaba  mzito  usiokuhusu.  Mwandishi  B.C. Forbes  anasema: “Wivu  ni  kansa  ya  akili.”  Kama unataka  kufanikiwa katika maisha, acha wivu. …

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (14)

Kama si sasa ni lini? Kuna methali ya Kiyahudi isemayo: “Kama si sasa ni lini? Kama si sisi ni nani?” Katika makala hii tutazungumzia sehemu ya kwanza ya methali. Kama si sasa ni lini? Liwezekanalo sasa lisingoje saa ijayo. Liwezekanalo…

Hakuna ziada mbovu

Waswahili tunasema: “Hakuna ziada mbovu.” Hii ni methali kongwe yenye maana kuongezwa jema ni manufaa, kwani hata kama halina kazi sasa, halitakosa kazi baadaye. Ni methali inayotaka tafakuri pana.  “Kuongezwa jema” inatokana na asili tatu. Mosi, kutafuta kwa kufanya kazi….

Yah: Nilibatizwa kwa maji machache, siku hizi ni wa moto

Wakati nilipokuwa mtoto wazazi wangu walinipeleka katika kanisa ambalo mimi nilibatizwa na kupewa jina ninalotumia mpaka leo.  Kwa jinsi ninavyosimuliwa ni kwamba sikulia wakati wa kubatizwa kwa sababu maji hayakuwa mengi kama ambavyo siku hizi watu wanalia kwa kubatizwa ndani…