Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 8, 2023
MCHANGANYIKO
Picha:Rais Samia kwenye kongamano la BAWACHA
Jamhuri
Comments Off
on Picha:Rais Samia kwenye kongamano la BAWACHA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) pamoja na Wanachama wa Chama hicho kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 08 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) pamoja na Wanachama wa Chama hicho kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 08 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Maridhiano kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe aliyeikabidhi kwa niaba ya Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) mara baada ya kuwahutubia kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 08 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe, pamoja na viongozi mbalimbali wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) mara baada ya kuwahutubia kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 08 Machi, 2023
Viongozi mbalimbali pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Moshi mkoani Kilimanjaro katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani tarehe 08 Machi, 2023.
Post Views:
759
Previous Post
Polisi wanawake watoa msaada kwa Askari wagonjwa
Next Post
Ibenga aitaka huduma ya Inonga
Dk Mpango atoa wito kwa majaji, mahakimu wanawake kutofumbia macho vitendo vya ukatili
TEF yawapongeza Dk Samia, Dk Mwinyi, Dk Nchimbi
Mikoa sita kunufaika na msaada wa kisheria wa mama Samia
Polisi Pwani wamkamata aliyesambaza picha chafu za utupu akihusisha shule ya Baobab
Wamuua ndugu yao na kumfukia kwenye shimo nyumbani kwake
Habari mpya
Dk Mpango atoa wito kwa majaji, mahakimu wanawake kutofumbia macho vitendo vya ukatili
TEF yawapongeza Dk Samia, Dk Mwinyi, Dk Nchimbi
Mikoa sita kunufaika na msaada wa kisheria wa mama Samia
Polisi Pwani wamkamata aliyesambaza picha chafu za utupu akihusisha shule ya Baobab
Wamuua ndugu yao na kumfukia kwenye shimo nyumbani kwake
TikTok yarejesha huduma zake Marekani baada ya ahadi ya Trump
Jafo aagiza jengo la Metrolojia CBE likamilike kwa wakati
Trump aahidi kuwazuia wahamiaji kuingia Marekani
Uhusiano baina ya Tanzania, Czech kung’ara
Rais Samia, Mwinyi mitano tena
Simba njia nyeupe
Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Wazazi jamii ya kifugaji wamuomba Waziri kuingilia kati sakata la kuchukuliwa kwa watoto wao kinyemela
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM