Latest Posts
Ajali yaua saba na kujeruhi kumi Bagamoyo
Watu saba wamefariki dunia na wengine kumi kujeruhiwa katika ajali ya gari ya abiria aina ya Coster iliyogongana uso kwa uso na gari ya mizigo aina ya Canter maeneo ya kiwangwa Bagamoyo leo asubuhi Januari 9, 2023. Mmoja wa majeruhi…
Uchawi wa Makocha wa kigeni unavyowang’arisha Wachezaji
Simba wameshatua Dubai kwa ajili ya maandalizi mafupi ya kujiandaa na mechi za ligi, FA na Klabu Bingwa Afrika. Inavutia kwa namna ambavyo Simba inaishi kisasa zaidi. Simba wanakwenda nje ya nchi kwa mara ya tatu msimu huu katika nia…
Rais Samia aliahidi, umma wasubiri MSA 2016 kufumuliwa
Na Stella Aron,JamhuriMedia DHAMIRA njema inayooneshwa wazi Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ni wazi kuwa itafanikisha kiu ya mchakato wa mabadiliko ya sheria ya huduma za habari nchini. Hatua hiyo inatokana na wasaidizi wa…





