Latest Posts
Ruzuku kutoka REA mkombozi ukamilishaji mradi wa umeme Lupali
Na Veronica Simba Watawa wa Kanisa Katoliki wa Shirika la Wabenediktini, Imiliwaha Njombe, wametoa shukrani kwa Wakala wa Nishati Vijijini kwa kutoa ruzuku inayotumika kukamilisha utekelezaji wa mradi wa umeme wa maji – Lupali utakaozalisha kilowati 317 pindi ukikamilika. Walitoa…
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa chakula na kilimo
Na Wilson Malima, JAMHURI MEDIA Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa masuala ya chakula na kilimo utakaofanyika Septemba 5 mpaka 8 mwaka huu. Ijumaa wiki hii (Machi 17), Rais Samia Suluhu Hassan atazindua maandalizi ya mkutano huo…
Rais afanya uteuzi wa Makatibu Tawala
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi kwa kuwateua Makatibu Tawala wa Mikoa huku Makatibu Tawala wengine wakihamishwa vituo vya kazi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 16,2023 kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Mkurugenzi…
Dkt.Bazilio: Msisafishe masikio kwa pamba, hujisafisha yenyewe
Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Tabora Wananchi wameshauriwa kutoingiza maji kwenye masikio wakati wa kuoga pia kutosafisha masikio yao kwa kutumia pamba za masikio kwani kwa kawaida sikio hujisafisha lenyewe. Hayo yamebainishwa na Daktari Bingwa wa Pua,Koo na Masikio, Dkt. Jane Bazilio kutoka…
Ibaada ya kumuaga Costa Titch yaahirishwa
Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Ibada ya kumbukumbu ya Mwanamziki Constantinos Tsobanoglou maarufu “Costa Titch” aliyefariki jukwaani, iliyotarajiwa kufanyika Alhamisi Machi 16, 2023 imeahirishwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia ya mwanamuziki huyo imeelezwa kuwa, kuchelewa huko kumetokana na…





