Latest Posts
Chongolo ahitimisha ziara kwa kutoa maelekezo 10 Serikalini
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, (CCM) Ndugu Daniel Chongolo amehitimisha ziara ya siku nne mkoani Kilimanjaro, katika Wilaya ya Same, amehitimisha ziara, ambapo katika ziara hiyo pamoja na kuhamasisha Sensa ya Watu na Makazi, Uhai na uimara wa Chama…
Funza wa vitumba mdudu tishio kwa mazao duniani
Na Mwandishi Wetu,JamhuruMedia, Mbeya Imeelezwa kuwa funza wa vitumba ni tishio kwa mazao mengi kutokana na kwamba anaanza kushambulia mazao pale yanapoanza kutoa maua. Hayo yamesemwa na Mtafiti wa Wadudu waharibifu kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Ukiriguru,…
Kenya yajifunza Tanzania kuhusu usalama na afya mahala pa kazi
Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umepokea ujumbe wa Kurugenzi ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya Kenya (DOSHS) wenye dhumuni la kujifunza kutokana na mafanikio ya WCF Tanzania na kuboresha mahusiano baina ya taasisi hizo mbili. Akizungumza baada…
Rais Dkt.Mwinyi awapa neno wana CCM nchini
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini watakaoweza kukivusha chama hicho katika Uchaguzi Mkuu ujao wa…





