Latest Posts
Mufti atengua uteuzi wa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam
Baraza la Ulamaa katlika kikao chake ilichofanyika tarehe O1 na 2 Februari jjini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wake Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dr. Abubakar Zubeir bin Ally LIMETENGUA uteuzi wa Sheikh Alhad Mussa Salum kama Sheikh…
Ahukumiwa jela maisha kwa kosa la ulawiti
Kijana wa miaka (19) Juma Mussa Mkazi wa mtaa wa Uzunguni kata ya Malolo katika Manispaa ya Tabora amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume wa miaka mitano (5) . Akitoa hujumu hiyo Hakimu…
Majaliwa: Serikali itaendelea kusimamia weledi kwa watumishi wa umma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia weledi, kanuni na taratibu zilizowekwa kwenye kila sekta ya utumishi wa umma. Aidha, pale patakapojitokeza uvunjifu wa maadili na miiko iliyowekwa, hatua…
Papa Francis akutana na wahanga wa vita vya Kongo
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani,Papa Francis ameelezea masikitiko yake na kuwapa pole wahanga wa ghasia za kikatili katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Masikitiko hayo aliyatoa jana jioni wakati alipokutana na wahanga wa vita na machafuko ya kisiasa kutoka mashariki…
NHC yalipa kodi bil.22.0/-, gawio kwa serikali la mil.750/-
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limesema limelipa kodi mbalimbali inayofikia takriban shilingi bilioni 22.0 kwa mwaka 2021/2022 pia limelipa gawio Serikali la sh.milioni 750 kwa mwaka 2021/2022. Shirika limekuwa likichangia kila mwaka gawio la Serikali na…





