JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NMB yazindua ATM ya kubadili fedha za kigeni uwanja wa KIA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Benki ya NMB leo imezindua rasmi mashine ya kubadilisha fedha (Forex – ATM) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili fedha za kigeni kwenda shilingi za Kitanzania. Hii ni hatua nyingine…

Chalamila atoa siku 7 kwa watumishi wa bandari kubadilika

N Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila,ametoa siku saba kwa watumishi wa makao makuu mamlaka ya Bandari(TPA),kubadilika kabla hajaanza kuchukua hatua dhidi yao. Chalamila, ametoa agizo hilo wakati akiongea na watumishi wa mamlaka hiyo wakati akikagua shughuli…

Wahandisi na wakandarasi wazawa watakiwa kuchangamkia fursa

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali itaendelea kuwasajili na kuwawezesha wakandarasi na wahandisi wazawa ili waweze kunufaika na fursa za miradi ya ujenzi inayoendelea nchini. Amesema hayo jijini Dodoma, katika taarifa yake kwa Kamati ya Kudumu…

Bibi afariki baada ya kuruka kutoka ghorofani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Unguja Rehema Chande (70),ambaye ni mkazi wa Unguja, Zanzibar, amefariki dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa ya pili nyumba anayoishi wakati akijiokoa dhidi ya moto uliowaka ndani ya nyumba hiyo. Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar, Rashid Mzee…

Ruvuma wapokea wawekezaji kutoka Misri

MILANGO ya uwekezaji mkoani Ruvuma imefunguka baada ya wawekezaji kwenye sekta ya kilimo kutoka nchini Misri kuwasili mkoani Ruvuma. Wawekezaji hao wanatarajia kuwekeza katika zao la mahindi ya njano ambapo kwa mwaka wanahitaji mahindi ya njano zaidi ya tani milioni…