Latest Posts
Simba,Yanga wote wapo kileleni
BAO pekee la kiungo Jonas Mkude dakika ya 86 lililoipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Simba SC imefikisha pointi 10 baada ya ushindi huo na kuungana kileleni na mabingwa watetezi,…
TFS waanzisha utalii wa mbio za magari
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ,kupitia shamba la miti la Sao Hill lilopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamefanikisha mashindano ya magari ya mbio fupi ya Sao Hill Auto Cross ambayo yalikuwa kivutio kikubwa kwa wananchi wa mkoa…
Makinda: Sensa ya 2032 inategemea kujikosoa kwa sensa ya 2022
Kamisaa wa Sensa Anne Makinda ameeleza ,Maandalizi ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2032 inategemea mafanikio na ufumbuzi wa changamoto zilizojitokeza sensa ya mwaka 2022 ili kuleta matokeo chanya. Ameelezea kwamba,ameshukuru Sensa hii imefanywa kwa uzalendo na wananchi…
NEMC yateketeza tani 44.4 ya mifuko iliyopigwa marufuku
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeteketeza vifungashio tani 44.4 ambavyo vimepigwa marufuku kwa matumizi, ambapo uteketezaji huo umefanyika katika kiwanda cha Saruji cha Twiga Cement Jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika zoezi hilo ambalo limefanyika…
Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe aliyemnyima ‘unyumba’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Katavi imehukumu Titus Malambwa (28), mkazi wa Kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele, Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mke wake kwa makusudi wakati wakiwa…





