Latest Posts
Ruvuma yafanikiwa kutoa chanjo ya Polio kwa asilimia 122.2
MKOA wa Ruvuma umefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa Watoto 398,029 sawa na asilimia 122.2. Katibu Tawala Msaidizi ,Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii Mkoani Ruvuma Dr.Lous Chomboko amesema Mkoa ulilenga kuchanja Watoto 325,746 katika awamu ya tatu ya…
Watanzania wamehamasika kushiriki Tamasha la JAMAFEST
Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Burundi Balozi wa Tanzania nchini Burundi Dkt. Jilly Elibariki Maleko amesema Watanzania wamehamasika na wamekuja kwa wingi katika Tamasha la Tano la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalofanyika kuanzia Septemba 4-12, 2022 nchini Burundi….
CSSC kupitia mradi wa Tuwekeze Afya kwenye makanisa waleta mafanikio
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Shirika la Christian Social Services Commission (CSSC), kupitia mradi wa Pamoja Tuwekeze Afya unaolenga kuwezesha vituo vya afya vya makanisa kujiimarisha na kujiendesha kiuendelevu kupitia mapato ya ndani umeleta mafanikio mbalimbali ikiwemo kuongeza wateja kwa asilimia 22…
Kaya zilizohesabiwa nchini zafikia asilimia 99.99
Kamisaa wa Sensa ya watu na Makazi Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 06 Septemba 2022 Jijini Dodoma. Amesema kiwango cha kaya zikizohesabiwa nchi nzima limefikia asilimia 99.99 na limehitimishwa rasmi. Kwa upande wa Sensa ya Majengo,…





